Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko .

Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata 😂
Madam mi silo hivyo, kwanini nimchezee mtoto was mtu Kama Sina mipango naye??
👉Bora niwe single tu, nipambanie kampuni zanguu
 
Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko .

Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata 😂
Huyu n mm kabisa
Ndoa n stress skuhz
Acha nizalishe na nilee tu
 
kwa jinsi unavoiona hii dunia, uko tayari kumleta mtu humu?? humuonei huruma??
Yes I'm ready , since as woman God created me for a purpose
Its not by mistake .

Imagine your mama saying that , usingekuwepo dakika hii , watu wengi wanatamani watoto lakini hawajapata bado .

its a blessing
Duniaa isikutishe hakuna jipya hapa , lazima umtegemee Mungu atakuvusha katika vyote ,

Napenda ule mstari kwa Biblia Mathayo 6 :25-34 msijisumbukie mle nini , mtavaa nini , mnywe nini .
 
Back
Top Bottom