Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko .

Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata 😂
Huyu n mm kabisa
Ndoa n stress skuhz
Acha nizalishe na nilee tu
 
kwa jinsi unavoiona hii dunia, uko tayari kumleta mtu humu?? humuonei huruma??
Yes I'm ready , since as woman God created me for a purpose
Its not by mistake .

Imagine your mama saying that , usingekuwepo dakika hii , watu wengi wanatamani watoto lakini hawajapata bado .

its a blessing
Duniaa isikutishe hakuna jipya hapa , lazima umtegemee Mungu atakuvusha katika vyote ,

Napenda ule mstari kwa Biblia Mathayo 6 :25-34 msijisumbukie mle nini , mtavaa nini , mnywe nini .
 
Ni kuomba tu neema ya Mungu
Hakuna kitu ubaya kama upweke . ukishakuwa mtu mzima , jumba lote upo peke yako , hakuna wa kukujali duh .
Yaaaaan upweke tatzo kubwa tena
Zaid Ila sasa unatafta wakutoana upweke
Badala yake unakuta umeita pressure
Ndo tatzo zaid vijana wengi me/ke
Wote n shida kila mmoja anavutia Ngoma upande wake
 
Yes I'm ready , since as woman God created me for a purpose
Its not by mistake .

Imagine your mama saying that , usingekuwepo dakika hii , watu wengi wanatamani watoto lakini hawajapata bado .
its a blessing
Duniaa isikutishe hakuna jipya hapa , lazima umtegemee Mungu atakuvusha katika vyote ,
Napenda ule mstari kwa nini mnajisumbukia kuwa mtakula mini , mtavaa nini ,
👏👏👏👏👏👏👏👏

Ingekua tukifka ndan mambo yanaendela kua hiv na Iman kila mmoja angekua
Kwenye ndoa na zingedumu sana
 
Back
Top Bottom