Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,431
- 96,808
Eti Cinderella, kaangalie hotel transvania ni 🔥🔥yupo kweli?? mi naona ni fairytales kama kwenye cinderella 😂
Eti Cinderella, kaangalie hotel transvania ni 🔥🔥yupo kweli?? mi naona ni fairytales kama kwenye cinderella 😂
Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko .Madam sikufichi, ain't doing that kind of stuff
Na kwanini nizigawe au chezea pesaa😂😂maisha sio marahisi hivyo....
Madam mi silo hivyo, kwanini nimchezee mtoto was mtu Kama Sina mipango naye??Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko .
Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata 😂
kitu ni kilekile.... fairytalesEti Cinderella, kaangalie hotel transvania ni 🔥🔥
Hahahahayupo kweli?? mi naona ni fairytales kama kwenye cinderella 😂
kupenda kupo, ila kuishi maisha yako yote na mtu... hiyo ni ngumuHahahaha
Hats ujifanye shingo ngumu utailegeza mwenyewe 😂😂
Hongera aiseeeMadam mi silo hivyo, kwanini nimchezee mtoto was mtu Kama Sina mipango naye??
👉Bora niwe single tu, nipambanie kampuni zanguu
kwa kila mmoja kama yeye, wapo 100 wa hit and run...Hongera aiseee
Kumbe wewe si wazee wa hit and run .
Endelea na kampuni zako. Dunian yahitaji watu kama were
Wew ni kataa ndoa kumbekupenda kupo, ila kuishi maisha yako yote na mtu... hiyo ni ngumu
niko pia kwenye kataa watoto...Wew ni kataa ndoa kumbe
Miaka kumi ijayo , itakuwa balaa
Wanaume mtajikuta mna watoto wengi nje , wengine mmewatekeleza duh .
Sema hit and run unawajua mapema , wana ishara zao .kwa kila mmoja kama yeye, wapo 100 wa hit and run...
Hehehe makubwaniko pia kwenye kataa watoto...
sina uhakika lakini😅 watu huwa tunabadilika....Hehehe makubwa
Hamtaki watoto tena
Huyu n mm kabisaSiku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko .
Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata 😂
Natumai unatania , watoto ni baraka kubwa sana . I usually don't judge people's decision . but try to rethink about it .sina uhakika lakini😅 watu huwa tunabadilika....
kwa jinsi unavoiona hii dunia, uko tayari kumleta mtu humu?? humuonei huruma??Natumai unatania , watoto ni baraka kubwa sana . I usually don't judge people's decision . but try to rethink about it .
Ni kuomba tu neema ya MunguHuyu n mm kabisa
Ndoa n stress skuhz
Acha nizalishe na nilee tu
Mapenz yakamtesa zaid😂😂Yani unipe elimu ya kuwa single nipate stress 😀😀alafu nife wasifu wa marehemu uwe alizaliwa akazurura akafa😂😂
Yes I'm ready , since as woman God created me for a purposekwa jinsi unavoiona hii dunia, uko tayari kumleta mtu humu?? humuonei huruma??