Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,171
Hahaa nitaweka soon, usilaleSi ndiyo uweke picha ili nione hiyo size ya siyo mnene,siyo mwembamba. 😀
Hahaa nitaweka soon, usilaleSi ndiyo uweke picha ili nione hiyo size ya siyo mnene,siyo mwembamba. 😀
Hivi kuna mtu anataka picha yako?🤣🤣Hahaa nitaweka soon, usilale
We mwenyewe unaitaka hapo ulipo😛Hivi kuna mtu anataka picha yako?🤣🤣
nipo MkuuUpo Ti?
Na hivi nipo lindo,nitakuwa mlinzi wa huu uzi leo. Ole wako usipoweka!!Hahaa nitaweka soon, usilale
Daah wewe ni kituko sana, mmeshindwa hata kutuzuga😂😂Yes,
Mimi hapa.
Ndio kipimo gani hicho😂Me niko medium size. Sio mnene wala sio mwembamba
Njema sananipo Mkuu
habari ?
Picha iko wapi?Daah wewe ni kituko sana, mmeshindwa hata kutuzuga😂😂
Ahaa picha ya cobra?Picha iko wapi?
Unaleta masikhara mzee baba. Week tupicha twako Ukiwa unalima kahawa hapo Sanya juu.Ahaa picha ya cobra?View attachment 2628086
Niko Mbozi kijanaUnaleta masikhara mzee baba. Week tupicha twako Ukiwa unalima kahawa hapo Sanya juu.
Nzuri dearVipi habari ya huko ??
nipo okay dear .Nzuri dear
Uko poa?
Have a blessed nightnipo okay dear .
Sera zetu 👉 Panga mkononiMzee wa 'I mean no malice to nobody'
I mean no malice to nobody, Sera zetu 👉 Panga mkononiHivi hii sentensi yako hii unayoipenda maana yake nini??? Unajua mie kingereza nilifeliiigii eti☺️!