Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mbona ghafla sana 🤣🤣
F0500957-828C-4C90-B031-DA2D527098EF.png
 
View attachment 2627715
Wanasema hata Sisi Wazee tupo kwenye hatari pamoja na kuwa Jogoo hawiki kutwa mara 3 kama Vijana 🙊🏃‍♂️🏃

Kila mmoja amlinde mwenzake hata kama kutoka Mji ulipo na alipo yeye pana umbali wa kilomita 1,000

Zero HIV inaanza na Mimi/Wewe
Ukiwa unajali afya yako . automatic unakuwa hata na uoga wa kuvagaa majitu majitu.. toka nimekuwa na tabia ya kupima nimekuwa muoga kuliko kunguru
 
Wee babu mbona huwa unatupia vipimo sana humuu kwanii hongera sana upo vizureee😂😂😂🤣🤣🤣!!
Safi hiooo 🤣🤣🤣!
Hahaha.........nawakumbusha Vijana kuchukua Tafadhali, alafu na vile Mjeshi bado yupo Darfur kule Sudani muhimu umkumbushe naye kupima 😜
 
Back
Top Bottom