Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,152
- 43,113
Asalaam aleykum ?Hongera mkuu kwa kujali Afya yako
Asalaam aleykum ?Hongera mkuu kwa kujali Afya yako
Huu ni uungwana kijana, barikiwa
tengeru pa hovyo sana 😂Wale wameru bonyeza parachichi uone kama hajakutimua wewe na tuhela twako
Selfika kwanza ndio nitakuitaNiite Ngoshi Wane mbona hauelewi wewe ?? 😂😂😂
Wee babu mbona huwa unatupia vipimo sana humuu kwanii hongera sana upo vizureee😂😂😂🤣🤣🤣!!Sisi Wazee hatuna hofu sana kama nyie Vijana 🤗
Asante Mjukuu, ninyi vijana pia mjifunze kwa sisi Wazee 😜Hongera mkuu kwa kujali Afya yako
Wee umezidi yaan 🤓🤓🤓Sisi Wazee hatuna hofu sana kama nyie Vijana 🤗
😂😂😂 jina lake la ubatizo ilo. Lakini analikataa balaa
tengeru pa hovyo sana 😂
Alafu nataka nikupe kitengo aiseee nikiji selfie nakupostia halafu wewe unazipost hapa 😂😂😂Selfika kwanza ndio nitakuita
Walakum msalamAsalaam aleykum ?
namaanisha soko sio eneo lenyewe😂Wapi pazuri tuhamie 😂😂
Asante Mjukuu, wanasema afya njema ni mtaji wa kwanza kabla hujapata mabilioni.Hongera sana kukumbuka kucheki afya babuu mie hata sikumbuki mara ya mwisho nilipima lini lol!!
Kucheki afya ni muhimu sana!!✌️✌️
Wameru ni wakali jamani😂Wale wameru bonyeza parachichi uone kama hajakutimua wewe na tuhela twako
Jumaa Mubarak 🙏Walakum msalam
Mbishi sana tatizo lake 😂😂😂😂 jina lake la ubatizo ilo. Lakini analikataa balaa
Njoo tenaAlafu nataka nikupe kitengo aiseee nikiji selfie nakupostia halafu wewe unazipost hapa 😂😂😂