Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,976
Nilikuwa naendaga sokoni kule kununua ingredients 😂😂😂 unaendaga kufanyaje?
Nasikia kuna mitumba inajitahidi ila sijawahi fika.
Nikifika mwisho kale ka village pale
Nilikuwa naendaga sokoni kule kununua ingredients 😂😂😂 unaendaga kufanyaje?
Nasikia kuna mitumba inajitahidi ila sijawahi fika.
Nikifika mwisho kale ka village pale
Hahahaaaaanajua unanitaka
Ukitokea Sakina kwa Wamasai 😂Nilikuwa naendaga sokoni kule kununua ingredients 😂
Sasa mtu anaitwa mshamba unamshangaa tena?Mmh totoo, hii lugha humu sio poa
Hivi ile mitumba ya kwenye mikokoteni bado ipo?😂😂 unaendaga kufanyaje?
Nasikia kuna mitumba inajitahidi ila sijawahi fika.
Nikifika mwisho kale ka village pale
Hapana😂😂Ukitokea Sakina kwa Wamasai 😂
sijui maana yake naskiaga tu 😅Mmh totoo, hii lugha humu sio poa
basi basi yaishe....Sasa mtu anaitwa mshamba unamshangaa tena?
Anatakiwa aelimishwe, vingine sio ushamba ni kukosa adabuSasa mtu anaitwa mshamba unamshangaa tena?
Kwanza atuonyeshe huto turaba twake twa Krokoni 🤣🤣🤣Shida hizo hela anaishia kununua raba na aifon
Futa hiyo post haijakaa sawa dogobasi basi yaishe....
Usirudie tena kuandika matusi, you are too handsome for that totoosijui maana yake naskiaga tu 😅
Hapa nilipokaa nyuma ya mlango kuna mianzi miwiliAnatakiwa aelimishwe, vingine sio ushamba ni kukosa adabu
sawa sawa Glenn ni kama polisi ananifuatilia sana 😅Usirudie tena kuandika matusi, you are too handsome for that totoo
NakaziaFuta hiyo post haijakaa sawa dogo
Nakuona unafundisha mambo ya hatari kabisaKwemaaaa???
Chukua mmoja tumchape huyu mtoto 🤣Hapa nilipokaa nyuma ya mlango kuna mianzi miwili
HapanaaaaaNakuona unafundisha mambo ya hatari kabisa