Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,980
Hapana😂😂Ukitokea Sakina kwa Wamasai 😂
Hapana😂😂Ukitokea Sakina kwa Wamasai 😂
sijui maana yake naskiaga tu 😅Mmh totoo, hii lugha humu sio poa
basi basi yaishe....Sasa mtu anaitwa mshamba unamshangaa tena?
Anatakiwa aelimishwe, vingine sio ushamba ni kukosa adabuSasa mtu anaitwa mshamba unamshangaa tena?
Kwanza atuonyeshe huto turaba twake twa Krokoni 🤣🤣🤣Shida hizo hela anaishia kununua raba na aifon
Futa hiyo post haijakaa sawa dogobasi basi yaishe....
Usirudie tena kuandika matusi, you are too handsome for that totoosijui maana yake naskiaga tu 😅
Hapa nilipokaa nyuma ya mlango kuna mianzi miwiliAnatakiwa aelimishwe, vingine sio ushamba ni kukosa adabu
sawa sawa Glenn ni kama polisi ananifuatilia sana 😅Usirudie tena kuandika matusi, you are too handsome for that totoo
NakaziaFuta hiyo post haijakaa sawa dogo
Nakuona unafundisha mambo ya hatari kabisaKwemaaaa???
Chukua mmoja tumchape huyu mtoto 🤣Hapa nilipokaa nyuma ya mlango kuna mianzi miwili
HapanaaaaaNakuona unafundisha mambo ya hatari kabisa
Ni wewe tuuView attachment 2627715
Wanasema hata Sisi Wazee tupo kwenye hatari pamoja na kuwa Jogoo hawiki kutwa mara 3 kama Vijana 🙊🏃♂️🏃
Kila mmoja amlinde mwenzake hata kama kutoka Mji ulipo na alipo yeye pana umbali wa kilomita 1,000
Zero HIV inaanza na Mimi/Wewe
Pamoja sana Santos06 💪💪
sawa sawa 😅Futa hiyo post haijakaa sawa dogo
😂😂Nilikua naipenda ya bei chee ila vitu vipyaa