Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Nilitaka kumuuliza hivyo ila nikasita nisionekane nachunguza maisha ya mtu 🤷🏼♀️Wee babu mbona huwa unatupia vipimo sana humuu kwanii hongera sana upo vizureee😂😂😂🤣🤣🤣!!
Safi hiooo 🤣🤣🤣!
Nilitaka kumuuliza hivyo ila nikasita nisionekane nachunguza maisha ya mtu 🤷🏼♀️Wee babu mbona huwa unatupia vipimo sana humuu kwanii hongera sana upo vizureee😂😂😂🤣🤣🤣!!
Safi hiooo 🤣🤣🤣!
Shule au chuo gani palenimesoma pale miaka 4 na nimeisha kwa ndugu pale....
Ni kweli Mkuu, ingawa kuna warembo wengine wanashawishi mno hadi kujikuta unasahau Kiapo kwa muda 😜Ukiwa unajali afya yako . automatic unakuwa hata na uoga wa kuvagaa majitu majitu.. toka nimekuwa na tabia ya kupima nimekuwa muoga kuliko kunguru
🤓🤓🤓🤓 Hayo mambo yanahitaji moyo..Hahahaha..............wanasema usimpime kwa macho, na pipi unaweza kuila na maganda bado ukahisi utamu tu 🏃♂️🏃♂️
tengeru boys....Shule au chuo gani pale
Sawa ushauri wako ni muhimu kwetuAsante Mjukuu, ninyi vijana pia mjifunze kwa sisi Wazee 😜
Maendeleo ya jamiiShule au chuo gani pale
Nime donate BLOOD tu aisee 😂 😂 😂Woow 🥰
How was it?
Uliza tuu... 🤓🤓🤓 Una haki..Nilitaka kumuuliza hivyo ila nikasita nisionekane nachunguza maisha ya mtu 🤷🏼♀️
Road ya jeshini sio?tengeru boys....
Misisitize Mjeshi kuwa kule Sudan kuna warembo wakali wa Kihabeshi lakini akumbuke kujilinda 🙈🏃♂️🏃♂️🏃♂️Eendiwoooooooo babuuu asante kwa kutukumbushaa!!
Amen 🙏Sawa ushauri wako ni muhimu kwetu
Kwa nini unajipima mara kwa mara unauza mechi au uliyenae humuamini?Ni kweli Mkuu, ingawa kuna warembo wengine wanashawishi mno hadi kujikuta unasahau Kiapo kwa muda 😜
Mbona bado anaendelea ku dislike tu 😂 😂 😂Watu wana stress za maisha ndugu, so wanakuja kuzimalizia huku
ndio ndio... ile shule ya seminari....Road ya jeshini sio?
Hajafikia huko kote dogo 19yrs bado sana😂Maendeleo ya jamii
Cheti na dip miaka 3
Akapewa na mmoja wa nyongeza wa kujifunza kulima karoti
mshamba_hachekwi
ndo mambo yake kutengeneza id hovyoSio yeye kusema ana ID mbili au 🤓🤓🤓
Starehe yake hiyo..Kwa nini unajipima mara kwa mara unauza mechi au uliyenae humuamini?