Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Focus on your goals and motives
👉Tafuta au tengeneza sababu ya wewe kuishi maisha Safi.
👉Ngono huleta nuksi na mikosi
👉 Upotevu wa muda na pesa
👉 Jitafakari Kama unataka kuwa mama Bora au kifaa Cha Ngono kwa watu🤔
I agree with you hasa hapo kwenye 1.Upotevu wa muda na pesa

2.Nuksi na mikosi
kichaa ake kumbe usipovuta cha Arusha unakuaga na akili sana Big up ✌️!
 
ndoa ni fumbo gumu sana aisee 😅
Kwa Mungu hakuna fumbo
Yeye kama mwanzilishi wa taasisi hii ya ndoa , unajua bila kumuweka yeye awe kati ya maisha yenu .

Basi hazitokwisha wivu , chuki husda Mara uzinifu etc .

I think God should be the center for all marriages , God created marriage as a picture of his covenant between Christ and his bride (church)

Sasa as couples in marriage wasali , wamtumikie Mungu , wafanye vile Mungu alivyotuagiza , lastly reflect on God's character .
 
20230518_140248.jpg
 
Back
Top Bottom