Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hehhee kwamba utakuwa mwaminifu .
Walioa ndo wapo vizuri kucheat inasemakana wanawake wengi hujiachia baada ya ndoa .
kama kwenye game hatoi ushirikiano .. Wengine wanahamisha upendo kwa watoto
ndoa ni fumbo gumu sana aisee ๐Ÿ˜…
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Focus on your goals and motives
๐Ÿ‘‰Tafuta au tengeneza sababu ya wewe kuishi maisha Safi.
๐Ÿ‘‰Ngono huleta nuksi na mikosi
๐Ÿ‘‰ Upotevu wa muda na pesa
๐Ÿ‘‰ Jitafakari Kama unataka kuwa mama Bora au kifaa Cha Ngono kwa watu๐Ÿค”
I agree with you hasa hapo kwenye 1.Upotevu wa muda na pesa

2.Nuksi na mikosi
kichaa ake kumbe usipovuta cha Arusha unakuaga na akili sana Big up โœŒ๏ธ!
 
ndoa ni fumbo gumu sana aisee ๐Ÿ˜…
Kwa Mungu hakuna fumbo
Yeye kama mwanzilishi wa taasisi hii ya ndoa , unajua bila kumuweka yeye awe kati ya maisha yenu .

Basi hazitokwisha wivu , chuki husda Mara uzinifu etc .

I think God should be the center for all marriages , God created marriage as a picture of his covenant between Christ and his bride (church)

Sasa as couples in marriage wasali , wamtumikie Mungu , wafanye vile Mungu alivyotuagiza , lastly reflect on God's character .
 
20230518_140248.jpg
 
Back
Top Bottom