usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,978
- 14,097
Hata mababu zetu walisemaga hivi hiv๐๐๐๐saivi wacha niruke ruke ili nikija kuoa nisiwaze kucheat ๐
Hata mababu zetu walisemaga hivi hiv๐๐๐๐saivi wacha niruke ruke ili nikija kuoa nisiwaze kucheat ๐
ndoa ni fumbo gumu sana aisee ๐Hehhee kwamba utakuwa mwaminifu .
Walioa ndo wapo vizuri kucheat inasemakana wanawake wengi hujiachia baada ya ndoa .
kama kwenye game hatoi ushirikiano .. Wengine wanahamisha upendo kwa watoto
sasa tufanyeje??๐Hata mababu zetu walisemaga hivi hiv๐๐๐๐
Uchague upweke au stires๐๐Ila maisha hayo fair๐๐
I agree with you hasa hapo kwenye 1.Upotevu wa muda na pesaFocus on your goals and motives
๐Tafuta au tengeneza sababu ya wewe kuishi maisha Safi.
๐Ngono huleta nuksi na mikosi
๐ Upotevu wa muda na pesa
๐ Jitafakari Kama unataka kuwa mama Bora au kifaa Cha Ngono kwa watu๐ค
Kwa Mungu hakuna fumbondoa ni fumbo gumu sana aisee ๐
Bora stressUchague upweke au stires
Unafunga macho unabeba kimoja๐๐๐
Almost thereKwan dear now Una 30s??
๐๐๐Mbona hakuna chenye afadhaliUchague upweke au stires
Unafunga macho unabeba kimoja๐๐๐
Unaishije Sasa mjini hapo na bby huna ๐๐๐au na Wew unafungua mlango na kugonga mwenyew๐๐Almost there
Ningechanganyikiwa na hata baby sina ๐๐
Nakaza shingo tu kama hivi ๐๐Unaishije Sasa mjini hapa na bby huna ๐๐๐
Beba vyote ๐๐๐๐๐๐๐Mbona hakuna chenye afadhali
DJ mlete na ule wimbo WA diamond nataka kulewa๐๐Bora stress
Kwani si unapooza ๐๐๐๐๐
Shingo nzuri๐Nakaza shingo tu kama hivi ๐๐
Nasubiri anifate nimekaa hapa chini ya mti ๐๐๐
Sio kulewa ???DJ mlete na ule wimbo WA diamond nataka kuolewa๐๐
Hii shingo naona imekidhi vigezo vyoteNakaza shingo tu kama hivi ๐๐
Nasubiri anifate nimekaa hapa chini ya mti ๐๐๐
Endele kusubiri Mungu Huwa pamoja na wenye subra mapenzi stress tupu ๐๐๐Nakaza shingo tu kama hivi ๐๐
Nasubiri anifate nimekaa hapa chini ya mti ๐๐๐
๐๐๐Shingo nzuri๐