usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,978
- 14,097
Yaaaaan upweke tatzo kubwa tenaNi kuomba tu neema ya Mungu
Hakuna kitu ubaya kama upweke . ukishakuwa mtu mzima , jumba lote upo peke yako , hakuna wa kukujali duh .
Zaid Ila sasa unatafta wakutoana upweke
Badala yake unakuta umeita pressure
Ndo tatzo zaid vijana wengi me/ke
Wote n shida kila mmoja anavutia Ngoma upande wake
