Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaaaaan upweke tatzo kubwa tena
Zaid Ila sasa unatafta wakutoana upweke
Badala yake unakuta umeita pressure
Ndo tatzo zaid vijana wengi me/ke
Wote n shida kila mmoja anavutia Ngoma upande wake
😀😀😀Et kuita presha
 
😀😀😀Et kuita presha
😂😂😂😂😂😂 Eeeeh sasa unataka kutolewa upweke badala yake unatundikiwa drip la presha 😂😂

Unarud nyumban 5pm
Inabid unazurura bila mpango
Ili urud 10pm 😂😂😂😂
 
A good example is job , baada ya kupata majaribu yote Yale hakukata tamaa ,aliweka Tumaini kwake Mungu . despite any situation you're facing God is bigger.
Zaburi 23:4
Nijapopita katika bonde la uvuli wa mauti , sitaogopa mbaya
nikifika 27 huko ntaanza kuwaza kuhusu watoto😅 wacha nile bata
 
Boss amesemaa, nani wa kupinga??

Machawa na mademu huu mwaka wenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_16844056541712460.jpg
 
Yaaaaan upweke tatzo kubwa tena
Zaid Ila sasa unatafta wakutoana upweke
Badala yake unakuta umeita pressure
Ndo tatzo zaid vijana wengi me/ke
Wote n shida kila mmoja anavutia Ngoma upande wake
Upweke mbaya sana , maana uzee huko ni kukaa , kulea wajukuu ,kwend vikao etc .

Imagine having a boring life , no one to talk to .
Halafu health decline as you age

Maisha haya msijibane , ndoa ngumu lakini nyie kama me mliumbwa kuwa kichwa na si vinginevyo .
 
👏👏👏👏👏👏👏👏

Ingekua tukifka ndan mambo yanaendela kua hiv na Iman kila mmoja angekua
Kwenye ndoa na zingedumu sana
Simameni nafasi yenu , unajua ukishaanza kusema ndoa ni ngumu sijui vile .. Tayari umeweka hofu ndani yako . . akili yetu iko programmed ukiiambia hivi nayi inashika hivyo hivyo .
 
nikifika 27 huko ntaanza kuwaza kuhusu watoto😅 wacha nile bata
Hehheee kumbe 😂😂
wakati nipo early twenties uniambie mambo hayo sikuelewi , ukifika hapo mid 20's akili inakusnitch , unahitaji kuwa na mtu . ukieendelea late 20's hapo ndo kabisa unatamani ndoa tu 😂😂
 
Hehheee kumbe 😂😂
wakati nipo early twenties uniambie mambo hayo sikuelewi , ukifika hapo mid 20's akili inakusnitch , unahitaji kuwa na mtu . ukieendelea late 20's hapo ndo kabisa unatamani ndoa tu 😂😂
saivi wacha niruke ruke ili nikija kuoa nisiwaze kucheat 😂
 
Hehhee kwamba utakuwa mwaminifu .
Walioa ndo wapo vizuri kucheat inasemakana wanawake wengi hujiachia baada ya ndoa .
kama kwenye game hatoi ushirikiano .. Wengine wanahamisha upendo kwa watoto
ndoa ni fumbo gumu sana aisee 😅
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Back
Top Bottom