Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni kuomba tu neema ya Mungu
Hakuna kitu ubaya kama upweke . ukishakuwa mtu mzima , jumba lote upo peke yako , hakuna wa kukujali duh .
Yaaaaan upweke tatzo kubwa tena
Zaid Ila sasa unatafta wakutoana upweke
Badala yake unakuta umeita pressure
Ndo tatzo zaid vijana wengi me/ke
Wote n shida kila mmoja anavutia Ngoma upande wake
 
Yes I'm ready , since as woman God created me for a purpose
Its not by mistake .

Imagine your mama saying that , usingekuwepo dakika hii , watu wengi wanatamani watoto lakini hawajapata bado .
its a blessing
Duniaa isikutishe hakuna jipya hapa , lazima umtegemee Mungu atakuvusha katika vyote ,
Napenda ule mstari kwa nini mnajisumbukia kuwa mtakula mini , mtavaa nini ,
👏👏👏👏👏👏👏👏

Ingekua tukifka ndan mambo yanaendela kua hiv na Iman kila mmoja angekua
Kwenye ndoa na zingedumu sana
 
Yaaaaan upweke tatzo kubwa tena
Zaid Ila sasa unatafta wakutoana upweke
Badala yake unakuta umeita pressure
Ndo tatzo zaid vijana wengi me/ke
Wote n shida kila mmoja anavutia Ngoma upande wake
😀😀😀Et kuita presha
 
😀😀😀Et kuita presha
😂😂😂😂😂😂 Eeeeh sasa unataka kutolewa upweke badala yake unatundikiwa drip la presha 😂😂

Unarud nyumban 5pm
Inabid unazurura bila mpango
Ili urud 10pm 😂😂😂😂
 
A good example is job , baada ya kupata majaribu yote Yale hakukata tamaa ,aliweka Tumaini kwake Mungu . despite any situation you're facing God is bigger.
Zaburi 23:4
Nijapopita katika bonde la uvuli wa mauti , sitaogopa mbaya
nikifika 27 huko ntaanza kuwaza kuhusu watoto😅 wacha nile bata
 
Boss amesemaa, nani wa kupinga??

Machawa na mademu huu mwaka wenu.
FB_IMG_16844056541712460.jpg
 
Yaaaaan upweke tatzo kubwa tena
Zaid Ila sasa unatafta wakutoana upweke
Badala yake unakuta umeita pressure
Ndo tatzo zaid vijana wengi me/ke
Wote n shida kila mmoja anavutia Ngoma upande wake
Upweke mbaya sana , maana uzee huko ni kukaa , kulea wajukuu ,kwend vikao etc .

Imagine having a boring life , no one to talk to .
Halafu health decline as you age

Maisha haya msijibane , ndoa ngumu lakini nyie kama me mliumbwa kuwa kichwa na si vinginevyo .
 
👏👏👏👏👏👏👏👏

Ingekua tukifka ndan mambo yanaendela kua hiv na Iman kila mmoja angekua
Kwenye ndoa na zingedumu sana
Simameni nafasi yenu , unajua ukishaanza kusema ndoa ni ngumu sijui vile .. Tayari umeweka hofu ndani yako . . akili yetu iko programmed ukiiambia hivi nayi inashika hivyo hivyo .
 
nikifika 27 huko ntaanza kuwaza kuhusu watoto😅 wacha nile bata
Hehheee kumbe 😂😂
wakati nipo early twenties uniambie mambo hayo sikuelewi , ukifika hapo mid 20's akili inakusnitch , unahitaji kuwa na mtu . ukieendelea late 20's hapo ndo kabisa unatamani ndoa tu 😂😂
 
Hehheee kumbe 😂😂
wakati nipo early twenties uniambie mambo hayo sikuelewi , ukifika hapo mid 20's akili inakusnitch , unahitaji kuwa na mtu . ukieendelea late 20's hapo ndo kabisa unatamani ndoa tu 😂😂
saivi wacha niruke ruke ili nikija kuoa nisiwaze kucheat 😂
 
Back
Top Bottom