Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Mbaba wa nje ,sitafuti kwanza 😂😂😂mbona unajing'ata😂 si umesema unataka mubaba??
Mbaba wa nje ,sitafuti kwanza 😂😂😂mbona unajing'ata😂 si umesema unataka mubaba??
KumbeeHapaana aisee
Humu siwawezi
Kwanza naupenda usingle , hupati mawazo 😂😂😂
😂😂Labda lkn ni kuwekana majaribuni tu 😂😂Ah wanakera aiseee
Hivi walikuwa wapi
Sasa mtu kama mie siwezi kutoka na watu wawili, lazima nimbwge mmoja .
Nahisii ukiwa na baby unaonekana maana lazima uvutie muda wrote
una maanisha mzungu??Mbaba wa nje ,sitafuti kwanza 😂😂😂
Habari yakoKumbee
😀Ooh hongera Mimi siwez kuwa single mda mrefu napenda kupendana Yani najisikia ufahari kumpenda mtu siachi had mapenz yaniue 😂😂😂Hapaana aisee
Humu siwawezi
Kwanza naupenda usingle , hupati mawazo 😂😂😂
Mapenzi matamu banaa🤣🤣🤣😂!Endele kusubiri Mungu Huwa pamoja na wenye subra mapenzi stress tupu 😂😂😂
Subir kindogo huo usingo utaukataa mwenyewe soon Tu😂😂Hapaana aisee
Humu siwawezi
Kwanza naupenda usingle , hupati mawazo 😂😂😂
Ni tatizoBora kupambana na vyote
Sema upweke n tatzo Zaid ukizidisha😂😂
😂😂😂😂una maanisha mzungu??
Asikwambie mtu kwanza kufa nje nje mbinguni sijui kma nitafika au nitaenjoy Hela Sina kilichobaki kugandana na mtoto wa mtu 😂 ama neneMapenzi matamu banaa🤣🤣🤣😂!
Hata umenikumbusha ngoja nitafte sleep over ya Leo mapema😂😂😂😀Ooh hongera Mimi siwez kuwa single mda mrefu napenda kupendana Yani najisikia ufahari kumpenda mtu siachi had mapenz yaniue 😂😂😂
Ukiyaendekeza yatakuua kweli ujuee🤣🤣🤣😂😂😂😂!!😀Ooh hongera Mimi siwez kuwa single mda mrefu napenda kupendana Yani najisikia ufahari kumpenda mtu siachi had mapenz yaniue 😂😂😂
😂😂😂😂Nitakufa kiume😂😂😂Ukiyaendekeza yatakuua kweli ujuee🤣🤣🤣😂😂😂😂!!
Sijaanza LeoSubir kindogo huo usingo utaukataa mwenyewe soon Tu😂😂
Mwanaume una lips mzuri uho ni umama
Na hiv tunaenda June yaaan n mgando mngando mpaka kieleweke😂Asikwambie mtu kwanza kufa nje nje mbinguni sijui kma nitafika au nitaenjoy Hela Sina kilichobaki kugandana na mtoto wa mtu 😂 ama nene
raha sana kusumbua mtu usiku 'bebi umekula??' eti 😂Asikwambie mtu kwanza kufa nje nje mbinguni sijui kma nitafika au nitaenjoy Hela Sina kilichobaki kugandana na mtoto wa mtu 😂 ama nene
Mie mwenyewe napenda kweli mapenzi sema hayanipendi 😂😂😀Ooh hongera Mimi siwez kuwa single mda mrefu napenda kupendana Yani najisikia ufahari kumpenda mtu siachi had mapenz yaniue 😂😂😂
Acha nianze kampen ya kukuondoa hapo😂😂Sijaanza Leo
Nimekomaa kwenye usingo 😂😂