Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani Kuna watu vishetani fulani hivi Sijui wakoje Ukiwa single wanakuona kama Bata tu Kosa upate Mpenz wanaanza usumbufu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ah wanakera aiseee
Hivi walikuwa wapi

Sasa mtu kama mie siwezi kutoka na watu wawili, lazima nimbwge mmoja .

Nahisii ukiwa na baby unaonekana maana lazima uvutie muda wrote
 
Ah wanakera aiseee
Hivi walikuwa wapi

Sasa mtu kama mie siwezi kutoka na watu wawili, lazima nimbwge mmoja .

Nahisii ukiwa na baby unaonekana maana lazima uvutie muda wrote
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Labda lkn ni kuwekana majaribuni tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜€Ooh hongera Mimi siwez kuwa single mda mrefu napenda kupendana Yani najisikia ufahari kumpenda mtu siachi had mapenz yaniue ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hata umenikumbusha ngoja nitafte sleep over ya Leo mapema๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜€Ooh hongera Mimi siwez kuwa single mda mrefu napenda kupendana Yani najisikia ufahari kumpenda mtu siachi had mapenz yaniue ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ukiyaendekeza yatakuua kweli ujuee๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚!!
 
Back
Top Bottom