Tayukwa
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 2,180
- 4,422
Umeguswa hapoTafwadhali hapo kwetu😆
Umeguswa hapoTafwadhali hapo kwetu😆
Ata mimi naona uko byee sana leoNipo amenipa dakika kadhaa nikumbuke watu wangu wa nguvu humu
and 100 others atanijazia.Msamaha umepita, ita unaemuamini akujazie
Kulia tu. 🥴Kulia au kuachwa na mzungu 😂😂
Usilie bhanaKulia tu. 🥴
Boss wangu huyo hana shida naomba nijazie😁.Msamaha umepita, ita unaemuamini akujazie
Ndio nimeshazoea siwezi tena kulia lia kama atakavyolia and 100 others 😁Usilie bhana
Kwa kweliAta mimi naona uko byee sana leo
🙂🙂🙂 nasubiriNgoja nimtie mkononi mnyama wa M2 Chip, ntamfungulia huko huko kwako.😁😁
nilikuwa na EZE akakuulizia ati aliipata.. yupo chuoni maafisa wapyaaHata 🛥 ni usafiri jamani 😄😄😄
Raha ya kulia awepo wa kukubembeleza, mi najua upo😁Ndio nimeshazoea siwezi tena kulia lia kama atakavyolia and 100 others 😁
Maombi yaongezeke tafadhali!!!🙃🙂🙂🙂 nasubiri
Maombi tena na sio kazi ziongezeke zaidi 🙄🙄🙄Maombi yaongezeke tafadhali!!!🙃
Ahhh wapi! Wale jamaa walikua wababaishaji nikaona I might as well count my losses badala ya kujipa moyo alafu niendelee kuwa dissapointed. 😔nilikuwa na EZE akakuulizia ati aliipata.. yupo chuoni maafisa wapyaa
Umejifunza wapi mtoto wewe???😳😳😳Raha ya kulia awepo wa kukubembeleza, mi najua upo😁
Sindio maombi yalete kazi sasa....😌Maombi tena na sio kazi ziongezeke zaidi 🙄🙄🙄
kuna msemo siku hizi unasema we omba mie nafanya kazi.... badae tuone matokeo
Ilete kwanza hiyo, nikufanyie mambo alafu M2 ndio tunaiwekea vitu vizito haswaaa... hata siku nikipita nayoo.. unaenda pale unapiga coffee huku unaingalia nilipo ificha 😉😉 sema hata apple walikuhujumu tuuuuAhhh wapi! Wale jamaa walikua wababaishaji nikaona I might as well count my losses badala ya kujipa moyo alafu niendelee kuwa dissapointed. 😔
Mwambie ajaribu kucheki basi kama anaweza.🙂
🙂🙂🙂 nitakuletea maombi yangu uombe nipate kazi flani hivii tuwe mabilioneaSindio maombi yalete kazi sasa....😌
Selfika bsKwa kweli
Hii tuachane nayo ishachoka!Ilete kwanza hiyo, nikufanyie mambo alafu M2 ndio tunaiwekea vitu vizito haswaaa... hata siku nikipita nayoo.. unaenda pale unapiga coffee huku unaingalia nilipo ificha 😉😉 sema hata apple walikuhujumu tuuuu