Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Ntawajua tu!!! Na lazima niwapige biti!🤨We nia yako kunidumaza, sitaki na sikupeleki😆..
Ntawajua tu!!! Na lazima niwapige biti!🤨We nia yako kunidumaza, sitaki na sikupeleki😆..
Yeahh 🤗
Kwani na wewe mgonjwa?Yeahh 🤗
Tubadilishane 🕶 ????
Mi ni mgonjwa mbishi!!!Nilipewa miaka hiyo, nikavaa for a while alafu nikaacha mpaka leo. I guess macho yameji-repair yenyewe. So navaaga dark ones tu kwaajili ya mwanga.Kwani na wewe mgonjwa?
Ebu tuone..!
Ewaaaaa......😍😍😍Mi ni mgonjwa mbishi!!!Nilipewa miaka hiyo, nikavaa for a while alafu nikaacha mpaka leo. I guess macho yameji-repair yenyewe. So navaaga dark ones tu kwaajili ya mwanga.View attachment 2624205
Hiyo dawa ulipewa unigawieMi ni mgonjwa mbishi!!!Nilipewa miaka hiyo, nikavaa for a while alafu nikaacha mpaka leo. I guess macho yameji-repair yenyewe. So navaaga dark ones tu kwaajili ya mwanga.View attachment 2624205
☺️☺️☺️Ewaaaaa......😍😍😍
Mgonjwa wewe ni mrembo
Ila hilo ua hilo.......
Au basi
Poleee!!! Hata sikutumia dawa yoyote, I guess nilipata bahati tu. Ila kuna siku ntaenda kuangalia nione kama yako sawa 100%.Hiyo dawa ulipewa unigawie
Maana huu ugonjwa siupendi unaninyanyasa kwa kweli
😗😘🔥🔥🔥🔥🔥🙆
🙆🏾🙆🏾🙆🏾😁😗😘🔥🔥🔥🔥🔥🙆
Sexy mommaaa 🔥🔥🔥🙆🏾🙆🏾🙆🏾😁
Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya ya kwangu yalishakua changamoto
Hadi kitandani nalala nayo ili niwaone mbu vizuri😁😁
Tupia na wewe basi.......🤓Sexy mommaaa 🔥🔥🔥
SijawahiJamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Poleeeee! Ushawahi kujaribu contact lens??
Wengine ndio wanaponea hapo.Sijawahi
Naziogopa nahisi zitanipa upofu mapema
Nitatupia hapa siku zikinipanda kichwaniTupia na wewe basi.......🤓
Inabidi nijaribu hiyo optionWengine ndio wanaponea hapo.
Halafu wee dogo shangazi who?what?which?Shangazi unanichekeshaga sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daaah
#JF SIHAMI#