Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Hela hii hapa and 100 othersYaani niko kwa wakala hapa afanye chap
Hela hii hapa and 100 othersYaani niko kwa wakala hapa afanye chap
Ntawajua tu!!! Na lazima niwapige biti!🤨We nia yako kunidumaza, sitaki na sikupeleki😆..
Yeahh 🤗
Kwani na wewe mgonjwa?Yeahh 🤗
Tubadilishane 🕶 ????
Mi ni mgonjwa mbishi!!!Nilipewa miaka hiyo, nikavaa for a while alafu nikaacha mpaka leo. I guess macho yameji-repair yenyewe. So navaaga dark ones tu kwaajili ya mwanga.Kwani na wewe mgonjwa?
Ebu tuone..!
Ewaaaaa......😍😍😍Mi ni mgonjwa mbishi!!!Nilipewa miaka hiyo, nikavaa for a while alafu nikaacha mpaka leo. I guess macho yameji-repair yenyewe. So navaaga dark ones tu kwaajili ya mwanga.View attachment 2624205
Hiyo dawa ulipewa unigawieMi ni mgonjwa mbishi!!!Nilipewa miaka hiyo, nikavaa for a while alafu nikaacha mpaka leo. I guess macho yameji-repair yenyewe. So navaaga dark ones tu kwaajili ya mwanga.View attachment 2624205
☺️☺️☺️Ewaaaaa......😍😍😍
Mgonjwa wewe ni mrembo
Ila hilo ua hilo.......
Au basi
Poleee!!! Hata sikutumia dawa yoyote, I guess nilipata bahati tu. Ila kuna siku ntaenda kuangalia nione kama yako sawa 100%.Hiyo dawa ulipewa unigawie
Maana huu ugonjwa siupendi unaninyanyasa kwa kweli
😗😘🔥🔥🔥🔥🔥🙆
🙆🏾🙆🏾🙆🏾😁😗😘🔥🔥🔥🔥🔥🙆
Sexy mommaaa 🔥🔥🔥🙆🏾🙆🏾🙆🏾😁
Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya ya kwangu yalishakua changamoto
Hadi kitandani nalala nayo ili niwaone mbu vizuri😁😁
Tupia na wewe basi.......🤓Sexy mommaaa 🔥🔥🔥
SijawahiJamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Poleeeee! Ushawahi kujaribu contact lens??
Wengine ndio wanaponea hapo.Sijawahi
Naziogopa nahisi zitanipa upofu mapema
Nitatupia hapa siku zikinipanda kichwaniTupia na wewe basi.......🤓
Inabidi nijaribu hiyo optionWengine ndio wanaponea hapo.