Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwani na wewe mgonjwa?
Ebu tuone..!
Mi ni mgonjwa mbishi!!!Nilipewa miaka hiyo, nikavaa for a while alafu nikaacha mpaka leo. I guess macho yameji-repair yenyewe. So navaaga dark ones tu kwaajili ya mwanga.
 
Hiyo dawa ulipewa unigawie
Maana huu ugonjwa siupendi unaninyanyasa kwa kweli
Poleee!!! Hata sikutumia dawa yoyote, I guess nilipata bahati tu. Ila kuna siku ntaenda kuangalia nione kama yako sawa 100%.

Inabidi uvae muda wote???
 
Haya ya kwangu yalishakua changamoto
Hadi kitandani nalala nayo ili niwaone mbu vizuri😁😁
 
Back
Top Bottom