Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

CHino umenikumbusha hapo, nilikuwaga na kampani ya kutoka, ya kaka mmoja wa kichaga bwana. Rafiki sana, sasa siku hiyo sikuwa nataka kutoka kabisa.

Akasema twende hapo, nikaenda nilikunywa kupita my limit. Yaani yule rafiki aliniambia kama hukufa ile siku, bado una maisha marefu!!!

Nilitoka pale London, kasi huwa anatabia ya kunisindikiza nyuma mpaka getini, mlinzi afungue geti naye anaondoka.

Ila hiyo siku nilimuachia vumbi 🀣🀣🀣🀣🀣 fikiria pale External palivyo chinja chinja usiku. Sikusimama nilikunja kama niko highway tu.

Magari mengine yote ilibidi yasimame, bila hivyo ningefia pale, asubuhi nauliza nimefikaje home? Sijui nimejikuta nimelala na ndiyo siku nilikunywa kupitiliaza. Umenikumbusha hii siku Chino!!!
Mungu mwema Sana
Alitaka wa kina chino waje waone uumbaji huuu!

Sasa kitambo icho
Ungeniibukia makuburi tu hapo kanisani ndo nilikua naishi na mwanangu Sana 'mb dog' unamkumbuka eh mzee wa latifa.
 
Mungu mwema Sana
Alitaka wa kina chino waje waone uumbaji huuu!

Sasa kitambo icho
Ungeniibukia makuburi tu hapo kanisani ndo nilikua naishi na mwanangu Sana 'mb dog' unamkumbuka eh mzee wa latifa.
Na nilishamuona uso kwa uso mara mbili, alikuwa anaimba dah. Muziki wa bongo stress hasa enzi zao hakukuwa na hela kwenye muziki kama sasa. Kumbe ulikuwa mitaa ile Chino vizuri sana.
 
Na nilishamuona uso kwa uso mara mbili, alikuwa anaimba dah. Muziki wa bongo stress hasa enzi zao hakukuwa na hela kwenye muziki kama sasa. Kumbe ulikuwa mitaa ile Chino vizuri sana.
Aisee mpk mwamba alishoboka!
we mbantu wewe!

Au ulimfanyia timbwiri tu ili ajue uepo wako.

Si mnajua watu wenye mananii yenu nyie mna visa Sana hasa mtu akitaka ajue uwepo wenu
 
Good night my very special selfika friends,
I pray you lay in rest,
And may tomorrow bring you
Much love and happiness.

Do not think of me. I'm in ur eyes, in ur heart, Good Night.

Peterrabbit 🐰πŸ₯•πŸ‘‹
 
Aisee mpk mwamba alishoboka!
we mbantu wewe!

Au ulimfanyia timbwiri tu ili ajue uepo wako.

Si mnajua watu wenye mananii yenu nyie mna visa Sana hasa mtu akitaka ajue uwepo wenu
Hapana ile kuonana tu, siwezi sema hapa naonana nao wengi kwa ishu nyingine πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Kapachino naona Antonnia kishadondosha gari huko. Nasi tulale, Mungu akipenda kesho mtu chake bye😘✌
 
Mnyama wa M2 Chip anakuwaje na perfomance yake? Hebu nielimishe, nina laptop yangu hapa ya Pentium III.
Alafu wewe....πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Mwanafunzi hamfundishi mwalimu!πŸ€“

...but anyway, M1 ndo nna namjua vizuri, alikua super smooth 😎 πŸ‘ŒπŸΎ, so I imagine M2 chip will be double the fun. Japo naona kwenye reviews wanasema kuna vitu viwili vitatu bado anamzidi M2, ila 16-core GPU can give you a lot!
 
Screenshot_20230515-235133_1.jpg
 
Back
Top Bottom