Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Sio mbaya ila mi binafsi sipendi!🫣Inabaki na ladha gani?
Huwa nakula tu aunt yangu akinitengenezea breakfast since she made an effort! 🙈🙈
Sio mbaya ila mi binafsi sipendi!🫣Inabaki na ladha gani?
Yaani unajipangia wa kukuweka begani? Labda kama John Cena wa kwa mtogole😂😂🤣🤣🤣
Begani kwa John Cena/The Rock ehhhh???KABISA!!!😄
100 others malizia hiyo software haraka, mteja mwingine huyu hapa!!🤑
Ili nae aaje kuonja chachu ya kuachwa 🤣🤣🤣Ana kaka tu...ila ufuge rasta kwani we beach boy ??? Ongea tu vizuri na mimi nikupe huyu hapa.
View attachment 2624040
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani unajipangia wa kukuweka begani? Labda kama John Cena wa kwa mtogole😂😂
Sitaki maana atakuja kunisumbua kwa vilio.🫣Ili nae aaje kuonja chachu ya kuachwa 🤣🤣🤣
Hapo hukupaswa kujaza wewe hapo inabidi ujaziwe au wajazaji waje kukujazia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We umesema naniliu....nikajua natakiwa kujaza jibu.🤓
Kumbe nimeingilia kazi ya watu??😳😳😳Hapo hukupaswa kujaza wewe hapo inabidi ujaziwe au wajazaji waje kukujazia
Kwani we unalia?Sitaki maana atakuja kunisumbua kwa vilio.🫣
Mi nshazoea...Kwani we unalia?
Kumbe nimeingilia kazi ya watu??😳😳😳
Basi nisamehewe bure!🙏🏾
Wanaoishi kwa mtogole kwa nini mnawaonea hivi😂, kuna Tandahimba huwa nacheka sana..Yaani unajipangia wa kukuweka begani? Labda kama John Cena wa kwa mtogole😂😂
Kwa tumboWanaoishi kwa mtogole kwa nini mnawaonea hivi😂, kuna Tandahimba huwa nacheka sana..
Leo upo active shemeji kakuachi uhuru nini?Kulia au kuachwa na mzungu 😂😂
Leo siku ya career so tulikuwa tunatoa elimu ya GBV shule mbalimbaliUnaenda kuwachukua madogo au upo pembeni tu unakula kipepo?
Nshamaliza.🤣🤣🤣
Begani kwa John Cena/The Rock ehhhh???KABISA!!!😄
100 others malizia hiyo software haraka, mteja mwingine huyu hapa!!🤑
Tafwadhali hapo kwetu😆Kwa tumbo
Nipo amenipa dakika kadhaa nikumbuke watu wangu wa nguvu humuLeo upo active shemeji kakuachi uhuru nini?