YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Mara ya mwisho kula ilikuwa mwezi wa 7 mwaka jana kwa mama ntilie aseee niliumwa tumbo vibaya mkuuuu sijawshi kanyaga tena hapo
Hivi sivili labda kama vimetengenezwa nyumbani la sivyo hapana aseeee kununua siwezi 🥵🥵🥴