YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Na tumemsanda sasa π π π ππ Leo kajisahau
Na tumemsanda sasa π π π ππ Leo kajisahau
Ana ubabu gani sasaπ πShikamoo Babu
Wape maneno ya busara
Watu wanapenda uzee, halafu ukifika wanakataaNa tumemsanda sasa π π π π
Wazee wetu hawa jamaniAna ubabu gani sasaπ π
Hapana kwa kweli, mie mtoto wako dadaπWazee wetu hawa jamani
Au na wewe mkubwa ?
Shule haijawah nitenganisha na michezo,, hiyo fom 4 natoroka shule naenda gym ya, magereza kwenye sparring




wee ulikua nomaa aseeeh. Mwenzio nikiwa class la NECTA, huwa nawaza paper lake tyuuh. Aaaah wee thubutuuKafanye mazoezi wewe
Mie mwenyewe mtotoHapana kwa kweli, mie mtoto wako dadaπ
Leta haraka!!!!π€€π€€π€€π€€Ugali dagaaa π π πππ
25 we mbona mkubwa hivyooooπ’π’Mie mwenyewe mtoto
Anda twenti faivi
Tukutane uzi wetu pendwa kule, ππβΊοΈπLeta haraka!!!!π€€π€€π€€π€€
Hawa Vijana hawafai kwa kweli, eti wametuma ombi maalumu kwa CAG aje akague vyeti vyangu vya kuzaliwa πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈShikamoo Babu
Wape maneno ya busara
Aweke na matembeleLeta haraka!!!!π€€π€€π€€π€€
Sijawahi ogopa examswee ulikua nomaa aseeeh. Mwenzio nikiwa class la NECTA, huwa nawaza paper lake tyuuh.
Ko mda mwingi ni kupitia masomo.
Hizo ni picha za kijana wangu wa mwisho kuzaliwa, you can now imagine umri nilionao Babu yenu ππββοΈπββοΈπββοΈDogo yankiiieee kabisa ww unajiluta kizee
NA mirinda black
hapana aisee πNA mirinda black