Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Heheheh wanaume nyie mkiagaiza hats chipsi tomato kidunchu .kachumbari kwani mi mwanamke 😂 nagonga na maji....
Mie niakiagiza nataka mazaga yote achali ya embe , ukwaju , mayoinaise , tomato .
Heheheh wanaume nyie mkiagaiza hats chipsi tomato kidunchu .kachumbari kwani mi mwanamke 😂 nagonga na maji....
mihogo inaenda na chai au maji, ila pombe na soda hapanaOK. Ila pombe na mihogo??
Ukishiba ndio unachukua kitu ya Jinro Soju
🤣🤣kachumbari kwani mi mwanamke 😂 nagonga na maji....
Itawekwa hadharani lakini kujadiliwa itakuwa Bunge la Mwezi wa 9 😜🏃♂️🏃♂️Report iwekwe hadharani
tena hapa inaelekea naimaliza bila maji 😂Heheheh wanaume nyie mkiagaiza hats chipsi tomato kidunchu .
Mie niakiagiza nataka mazaga yote achali ya embe , ukwaju , mayoinaise , tomato .
😅😅😅😅😅 Duuh noma sana aseee
Mwastahili heshima , kwenye pension wawaongeze kidogoKwa kweli, kama tumepigana na vita ya Iddi Amini muhimu tupewe heshima yetu Wazee 😜
Aaah imenishindaga hiyo 😒😏😏hizi ndo chipsi dume achana na viazi 😂
Uone wewe tu lakini😂Aisee mdogo wangu basi selfika
Duh kavu sana hiyotena hapa inaelekea naimaliza bila maji 😂
Hilo neno kwa kweli, tumeitoa mbali sana hii Nchi 😊Mwastahili heshima , kwenye pension wawaongeze kidogo
nimeshazoea wala huniumizi 😂Totoo
Safi sanaUone wewe tu lakini😂View attachment 2620244
hapana nikizidiwa bomba hilo hapo nje 😂Duh kavu sana hiyo
Pata Afya nyeusi basi 😂😂
Ewaaah hakikaHilo neno kwa kweli, tumeitoa mbali sana hii Nchi 😊
Zitoke wapi sasa dada?? Kakidevu keupe sio kama ma bro wangu humu😂 au niweke wigi🤔Safi sana
Pandisha juu kidogo tuone hata ndevu.
😂😂😂 we miss younimeshazoea wala huniumizi 😂
Uzuri wa hiyo mihogo haikabihapana nikizidiwa bomba hilo hapo nje 😂
🤗Ewaaah hakika