Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
HahahahahahaUnaiba vitu vikubwa vikubwa tu![]()
HAPANA jamanii auntie
HahahahahahaUnaiba vitu vikubwa vikubwa tu![]()
Leo jumapili ujue
Sema ukweli bana T jamanii!! Unanionea mimi jamani, kwa nini lakini T!!Tumeachana lini Sakayo...?
Soma neno la Mungu hapo chini leo tena ni jpili..
Soma mstari wa 6 vizuri hapo chini.
View attachment 1271322
Siku nyingi saaanaImenipiga Tofali nini?![]()
Nanyuki mkuu.Naomba location mkuu
Safi sana, tuliza akili sasa upate somo sio kusubiri picha tu.
AiseeMimi na sakayo tunaachana vipi?
Kifo ndio kitatutenganisha tuu..![]()
Ngoja nitajaribu![]()
NdiwoooNiweke screenshot ya wozap hapa?
Aisee
MmmhhhNanyuki mkuu.
Mwambie huyo, wewe ndio mkwe wangu pekee nikutambuae.Mimi na sakayo tunaachana vipi?
Kifo ndio kitatutenganisha tuu..![]()
SaaanaaAu nakosea?
Lol yanayonikuta hapa.





Unaulizwa maswali hadi kichwa kinauma.