AimennNgoja nitajaribu![]()
Hahahaa...
Wewe si ushakuwa mkubwa lakini..unataka usokote miguu bado ...
Na mchana kule wozap nilikuambia tuu..










Mkuu kwani hujui maji ni nini?
Anapiga Scottish Whiskey huyo..![]()
UongoooMuulize kweli
Aaaah wewe unaachwa na gari huku unaliona. Ila jana nilikuwa nadeal na quotes na tags tu ndio maana.Weeeee mie huwa naachwa nikiwa nyumbani siyo stendi,, nikiwa hapa hapa stendi naachwaje kizembe kwa mfano..
Tena bora hata ningekuwa ni mtu wa kuweka na kufuta hapo hapo kama Hawachi lakini wala,, wewe mwenyewe unajua vyenye picha zangu huwa zinakaa muda mrefu ndiyo nazifuta na ile ilikaa mno ila haukuiona..
HmmmmKwani mimi nimesema naenda kagera?
Nimesema nakuja huko huko uliko....wewe nenda hata Guazhong...utajua

Wife ndo nani eti jamani
TayariiAkukijibu Niite ...
Kweli wewe jambaziNiko singo auntie wangu jamaani....
Watu8 ni...
T aliniacha zamani sana
Eli ni kaka yangu kabisaa jamani
Trouble ni mtani wangu mimi
DiasporaUSA naona kama anataka kunichumbia ila naogopa ndege so sitawezana naye....
Kwa sasa niko sssiiiinnngooooo!!!!![]()



Kwa namba ipi tenaaTwende wozap basi
Lol I was slow. Kama ni hiyo poa sana.
Teh teh teeeeeeh!kwamba hauamini au?? Niko kwenye maandalizi basi!!
Kwani lini niliwahi kukuamini?
Kwa namba ipi tenaa
Huyo huyo.Eboo...
Cute bii yule chuga girl...?
Nakeiii...
Nakeiii
Mimi siyo muongo kama wewe jamani,, yote niliyoyasema kwa huu uzi kuhusu mimi ni ya ukweli yale ya kwenye nyuzi nyingine ndiyo ya uongo yapotezee.. ila humu nimefunguka mno mimi jamani hadi nimejishitukia



