Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487



lakini si umeziona??
Ndugu yangu umefanya mambo gani tena ? Yaani akati nimegeuka pembeni kusema hawa ndo wanyakyusa nnaowafahamu kurudi naona picha zimeshayeyuka.



lakini si umeziona??
Ndugu yangu umefanya mambo gani tena ? Yaani akati nimegeuka pembeni kusema hawa ndo wanyakyusa nnaowafahamu kurudi naona picha zimeshayeyuka.
Huo mwandiko sio wangu jamaani...Hiyo screenshot hapo..
Ukibisha naweka na Voice Note kabisa..
Saa 9 mchana hiyo..View attachment 1271333
Tumaaaa kabisaaa jamanii!!Nasema nitume na Voice Note?
Cc @Shunie
Mbona sijaona jamaniuwiii umezisave??
Nilikuwa naongea na simuu jamaniulienda wapi eti dada??
Wewe endelea kuruka ruka ila the kile kitabu kisichobadilika ndio kinasema hivi...Mmmmhhh

Hallelujah
Maswali wapi. Mara nimefungwa macho, eti 'eat and relax'. Mara play checkers, mara pick any food. Yaani fujo tu.






Mkwe kweli nimepata.Mwache aruke ruke na kina Dulla wa jf kwanza atarudi tuu...
Huo mwandiko sio wangu jamaani...
Kama uko na mchuchu anaandika anaruka herufi namna hiyo poleeee
Nilikuwa naongea na simuu jamani
Haya rudisha hiyo picha?anasokotaje kwani??
Mkwe kweli nimepata.
Hahaha...
Siku ukimkita MMU analia ujue kina dulla wamefanya yao..





@Roger Sterling mambo yako haya