Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,770
- 54,845
Range au Prado? 😳 ni mwendo wa bodaboda tu 😅😅😅Ahahahah ila sas uko mbali ase inabidi nisije na gari tutatumia ilo
Lako range au prado?
Range au Prado? 😳 ni mwendo wa bodaboda tu 😅😅😅Ahahahah ila sas uko mbali ase inabidi nisije na gari tutatumia ilo
Lako range au prado?
Ah hakikaLuka 12:16-21
Neno: Bibilia Takatifu
16 Kisha akawaambia mfano, “Shamba la tajiri mmoja lilizaa sana.
17 Akawaza moyoni mwake, ‘Nifanye nini? Maana sina mahali pa kuweka mavuno yangu.’
18 Kisha akasema, ‘Nitafanya hivi: nitabomoa maghala yangu na kujenga maghala makubwa zaidi na huko nitaweka mavuno yangu yote na vitu vyangu.
19 Na nitasema moyoni, ‘Hakika nina bahati! Ninayo mali ya kunitosha kwa miaka mingi. Sasa nitapumzika: nile, ninywe na kustarehe.’
20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Mjinga wewe! Usiku huu huu utakufa! Sasa hivyo vitu ulivyojiwekea vitakuwa vya nani?’
21 Hivi ndivyo itakavyokuwa kwa mtu yeyote anayehangaika kujikusanyia utajiri duniani lakini si tajiri mbinguni kwa Mungu.”
Mimi naumwa kifua 😂😂Range au Prado? 😳 ni mwendo wa bodaboda tu 😅😅😅
Na zawadi ya mihogo utapata..Oh my , I can't wait for June
I'm exicted already..
round ya ngapi hiyo
Kwamba ni njaa ilikua inauma?😆😆😆Ndio maana ulikuwa unaleta ugumu, kazi ikinifurahisha tunatoka kwenye kebab tunaenda kwa Salt Bae kula ribs.
Ah hakika
Upo vizuri kwa neno ..
Mathayo 6:19-21
Mathayo 6:19-21 BHN
“Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba.
Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu hawawezi kuiharibu, wala wezi hawaingii wakaiba. Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa .
Wanaloga sanaaaDaah hawa Real Madrid kwenye UEFA wana balaa
Mungu saidia Man City 🙏
Yakwazaround ya ngapi hiyo
Baki nyumbani usije ukatufia batani 😄😄Mimi naumwa kifua 😂😂
Mhh ndio mashabiki wa Madrid mnavyologa leo?Yakwaza
Sio bure yaani ile mibabu Benzema na Modrić huwa inakuwa kama vijana wa under 25 kwenye UEFAWanaloga sanaaa
Ile midevu ya Benzema kuna namna
Si utanipeleka home bhna 😂Baki nyumbani usije ukatufia batani 😄😄
😂😂😂 mimi man uMhh ndio mashabiki wa Madrid mnavyologa leo?
ila pilau unajazaga sahani wewe 😂😂😂Si unaona Depal View attachment 2615801
Labda mortuary 🤭😄Si utanipeleka home bhna 😂
😂😂😂 walai hufai kabisa weweLabda mortuary 🤭😄
Hakuna mungu wa Pep G mungu ni wa Madrid tu leo.Daah hawa Real Madrid kwenye UEFA wana balaa
Mungu saidia Man City 🙏