sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
OyaaaaSi haba
OyaaaaSi haba
Mwanza kitambo Sana mkuuHahaha mwendo wa kupiga tuu kufanya window shop...
Kuna chimbo zamani mwanza lilikuwa linakimbiza saana panaitwa bonasari. Lilikuwa na watoto wakali saana. Sijui SASA hivi pakoje...
Watu wa mwanza wanaweza kunipa updated.
Mzee Baba twende Mwanza
Kapachino
Oi mzee babaOyaaaa
😅😅😅😂😂😂😂
Kuna mdau ameshauri utumie Google kusolve 🤪Ataniua![]()
😅😅😅😅Darasa la Nne C
Nawachekii
Wala sina habari
Tatizo kingerezaKuna mdau ameshauri utumie Google kusolve![]()

Upo Sahihi MkuuIf only mfumo wetu wa elimu ungeboreshwa.😵
Bado hatujafikia kuwa na wasomi wanaoweza kupambana na soko la nje kwa kiwango cha juu kwasababu watoto wetu bado hawafundishwi ili waelewe, wanakaririshwa ili wafanye vizuri kwenye mitihani.
Wale waliopo kwenye shule za International kweli ndio wenye advantage. Huku kwingine inabidi wazazi tuweke juhudi za nyongeza.🥴
Hapo kuna haja uongee vizuri na bosslady akupige msasa.Tatizo kingereza![]()
Itabidi aiseeHapo kuna haja uongee vizuri na bosslady akupige msasa.
Kuna siku niliona humu ana flow balaa![]()
Dah Kwa hiyo pesa ya mb shingap?? Hata jeroo unapata mb...View attachment 2614811
[mention]Mzee wa kupambania [/mention] subir nitakupa mrejesho andaa geto kbsa na jezi yake ya UTO
JAMBAZI FC
Hahaha we mzee ilikuwa ndio michezo yako iyoo!!!Hahaha mzee kitambo saana.
Enzi hizo bado ulikuwa unawawekeaa kioo chini wasichana na unakaa pembeni.
Ukiwa latatu C.
Hahaha mzee kitambo saana.
Enzi hizo bado ulikuwa unawawekeaa kioo chini wasichana na unakaa pembeni.
Ukiwa latatu C.


UsituangusheView attachment 2614811
[mention]Mzee wa kupambania [/mention] subir nitakupa mrejesho andaa geto kbsa na jezi yake ya UTO
JAMBAZI FC
Hahaha we mzee ilikuwa ndio michezo yako iyoo!!!
Miaka iyo makoroboi palikuwa pamekucha Sana.




Hahaha
Sijui ndio ilikuwa
Rangi ya taifa
Kama si nyekundu bhas nyeusi
Ila nilikuja kukoma huo mchezo
Baada ya kuchezea kipondo kutoka
Kwa ticha mmoja mnoko