Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20230508_164036.jpg
 
Ni kweli, though wangu wako bweni huko.

Wakirudi likizo wanakuwa na holiday Packages ambayo nikitumia weekend mbili tunakuwa tumemaliza kazi zao 🤗
Chamsingi wakiwepo unawa-assist kadri uwezavyo!👊🏾👊🏾

Ila huwa wanawachosha sana watoto na ma-holiday package yao 😵😵 Huku alikohamia dogo wanasema huwa hawapewi kazi kipindi cha likizo so I'm looking foward to that!
 
Chamsingi wakiwepo unawa-assist kadri uwezavyo!👊🏾👊🏾

Ila huwa wanawachosha sana watoto na ma-holiday package yao 😵😵 Huku alikohamia dogo wanasema huwa hawapewi kazi kipindi cha likizo so I'm looking foward to that!
Hakika 🤝

Homeworks huwa ni too challenging if neither of a parent has gone to school 🙌 unless tuwe na Mwalimu wa Kuwaassist

Ndiyo maana baadhi ya shule huwa na huo utaratibu wa kuto toa hizo Holiday Package ambapo pamoja na sababu nyingine wanaamini Mtoto anahitaji kupumzika wakati wa likizo.
 
Hakika

Homeworks huwa ni too challenging if neither of a parent has gone to school unless tuwe na Mwalimu wa Kuwaassist

Ndiyo maana baadhi ya shule huwa na huo utaratibu wa kuto toa hizo Holiday Package ambapo pamoja na sababu nyingine wanaamini Mtoto anahitaji kupumzika wakati wa likizo.
Watoto wetu wasipo pewa package holiday nzima wanaishia kuangalia cartoon na miziki.

At least kukiwa na package inawafanya two hours in a day wanaperuzi peruzi....

Sema kuna package package nyingine ni kukomoa. MTU mzima inakutoa jasho
 
Hakika 🤝

Homeworks huwa ni too challenging if neither of a parent has gone to school 🙌 unless tuwe na Mwalimu wa Kuwaassist

Ndiyo maana baadhi ya shule huwa na huo utaratibu wa kuto toa hizo Holiday Package ambapo pamoja na sababu nyingine wanaamini Mtoto anahitaji kupumzika wakati wa likizo.
True!!!😆😆😆😆😆
 
Watoto wetu wasipo pewa package holiday nzima wanaishia kuangalia cartoon na miziki.

At least kukiwa na package inawafanya two hours in a day wanaperuzi peruzi....

Sema kuna package package nyingine ni kukomoa. MTU mzima inakutoa jasho
Sindio maana ya likizo jamani????
Mbona nyie wakubwa mkiwa likizo hamchukui kazi za kufanya kipindi cha likizo????

Raha ya likizo ulale late, uamke late. Mtoto apumzishe akili, ale hovyo, atembee, acheze michezo ya ndani na ya nje.... sio aanze kuwaza kazi za shule tena. Sana sana awe na ratiba ya kujisomea storybooks kidogo kila siku.
 
Watoto wetu wasipo pewa package holiday nzima wanaishia kuangalia cartoon na miziki.

At least kukiwa na package inawafanya two hours in a day wanaperuzi peruzi....

Sema kuna package package nyingine ni kukomoa. MTU mzima inakutoa jasho
Sahihi kabisa

Mfano mtoto yupo Class 5, basi homework yake anapewa maswali ya class 6.

Sasa unajiuliza, yaani pamoja na kumlipia Ada yote hii mtoto bado, wanataka niwasaidie na kumfundisha masomo ya class 6 jameni 😩.

It is unfair kabisa 🙌
 
Sahihi kabisa

Mfano mtoto yupo Class 5, basi homework yake anapewa maswali ya class 6.

Sasa unajiuliza, yaani pamoja na kumlipia Ada yote hii mtoto bado, wanataka niwasaidie na kumfundisha masomo ya class 6 jameni .

It is unfair kabisa
Na maswali ya siku hizi.

Kuna somo linaitwa social studies na jingine civic and moral Yani humo kuna maswali pasua kichwa.
 
Back
Top Bottom