Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Swali ni je....hizo content wanazielewa???

Shule za international wanachofanya ni kuwapa watoto muda waku-digest information. Huku kwingine nikuwalimbikizia tu watoto a lot of unnecessary stuff. Muda wao wa utoto (ambao wanatakiwa kufurahia utoto wao) tunawa-exhaust sawa sawa na tunavyochoshwa na maisha ya ukubwani.

Utoto mgumu, ukubwa mgumu, lini watapumua???
Asilimia kubwa hawakielewi wanachokisoma isipokuwa wanakariri. Au wakielewa hawajui namna ya kuapply.


Vile vile contents ni tofauti saana. Mfano A level economics namna somo lilivyo huku kwenye necta syllabus tofauti na hawa Cambridge. Katika Cambridge wanachokisoma ni much realistic katika mazingira yetu kuliko zile theories za kwetu..
 
Nina mpango huo

Lakini kuna shule

Jina likanitisha kidogo

Pale Johannesburg S.A

Inaitwa WeePee High school

Hata kama sijui kingereza

Nikasema hapa ni upinde


Kama hii
Screenshot_2023-04-24-21-53-19-934_com.mi.globalbrowser.jpg
 
Back
Top Bottom