Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,536
- 66,066
Ahahaha acha zako unataka nimalize sufuria zima 😂🤔ðŸ¤ðŸ¤£ hebu kuwa serious haka ndio kaugali mwanamume unajisifu umekula
Ahahaha acha zako unataka nimalize sufuria zima 😂🤔ðŸ¤ðŸ¤£ hebu kuwa serious haka ndio kaugali mwanamume unajisifu umekula
Sijui ndio ilikuwa
Rangi ya taifa
Kama si nyekundu bhas nyeusi
Ila nilikuja kukoma huo mchezo
Baada ya kuchezea kipondo kutoka
Kwa ticha mmoja mnoko





AhahahSi haba
Kulikuwa na ngubalu
Hapana mkuu. Mimi nilikuwa napenda furu na mabumunda...! Kuna zile wanyamwezi wanaziita ntalali...

Hizo ngubalu unaweza honga... Kabisaa ukapata kabintiKulikuwa na ngubalu
Tamu balaa![]()
Gubiti zile kung'ang'ania kwenye mikono vipi ulikua hautumii.
Hapana mkuu. Mimi nilikuwa napenda furu na mabumunda...! Kuna zile wanyamwezi wanaziita ntalali...
Na vile vigaguloo sijui ndio vilinda...

Machungani hukoHizo ngubalu unaweza honga... Kabisaa ukapata kabinti

Kaza mtoto wa kiume 😀Ahahaha acha zako unataka nimalize sufuria zima 😂
Machungani huko
Vibinti tulivyokuwa
Tunachunga navyo
Nimefanya dhambi sana![]()




Acha hizo bana 😆😆Nina mpango huo
Lakini kuna shule
Jina likanitisha kidogo
Pale Johannesburg S.A
Inaitwa WeePee High school
Hata kama sijui kingereza
Nikasema hapa ni upinde
Astaafir' llahMachungani huko
Vibinti tulivyokuwa
Tunachunga navyo
Nimefanya dhambi sana![]()
Ongeza bidii huko shambani basi!!Upo Sahihi Mkuu
Ingekuwa kilimo changu kimenikalia vizuri ningejitahidi mtoto mmoja aende International school of Tanganyika, ada milioni 39 kwa mwaka.
Ofa hii nilipewa mimi kwakuwa ni Mkulima 🤪