mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,936
ni vizuri tu kama mmeshazoea 😂Diet 🍚 mwingi hivyo???🙄
Nimezidisha kipimo kabisa.🥴
ni vizuri tu kama mmeshazoea 😂Diet 🍚 mwingi hivyo???🙄
Nimezidisha kipimo kabisa.🥴
Darasa la Nne CKwasisi tulioishia la darasa la Nne la Mkoloni tunapata tabu sana na hizo homework zao![]()
Acha tuSisi wenye allergy na kingereza tunateswa saana.
🤣🤣🤣 nimeshangaa kaugali kakula mtoto wa miaka 5 ndo anajisifu hata 2 hatoboiMzee wa kupambania njoo uone ka ugali anakokula jamaa yako leo hapa kajikakamua kweli kweli😁
Hapa hata push up 5 zinapatikana kweli??
Acha tu
Ada nikishalipa
Habari ya package holiday
Sijui na makitu gani
Sina habari
Uhakika wake kwangu ni
Avae
Atibiwe
Ale na alale sehemu nzuri
Aende shule
Imeisha hiyo





Swali ni je....hizo content wanazielewa???Kwenye international schools wale wanasoma content kidogo alafu na exposure ni kubwa to the world plus confidence
Ila ukiweka hawa watoto wetu english na WA international school wakwetu kwenye content wapo vzr saana.
Sijui tunakwama wapiiii.
AtaniuaHahaha.........mtoto anaanza kukuuliza umsaidie ku calculate reflective index, density tena
Ni hatari

🤔🤭🤣 hebu kuwa serious haka ndio kaugali mwanamume unajisifu umekula
Asante Goroli😁Usiku mwema wapendwaaa kesho nayo ni siku! ✌️
Hili ni suala mtambukaIf only mfumo wetu wa elimu ungeboreshwa.😵
Bado hatujafikia kuwa na wasomi wanaoweza kupambana na soko la nje kwa kiwango cha juu kwasababu watoto wetu bado hawafundishwi ili waelewe, wanakaririshwa ili wafanye vizuri kwenye mitihani.
Wale waliopo kwenye shule za International kweli ndio wenye advantage. Huku kwingine inabidi wazazi tuweke juhudi za nyongeza.🥴
😂😂😂😂Sahihi kabisa
Mfano mtoto yupo Class 5, basi homework yake anapewa maswali ya class 6.
Sasa unajiuliza, yaani pamoja na kumlipia Ada yote hii mtoto bado, wanataka niwasaidie na kumfundisha masomo ya class 6 jameni 😩.
It is unfair kabisa 🙌
Mshua master😂😂Acha tu
Ada nikishalipa
Habari ya package holiday
Sijui na makitu gani
Sina habari
Uhakika wake kwangu ni
Avae
Atibiwe
Ale na alale sehemu nzuri
Aende shule
Imeisha hiyo
Kwakweli.Hili ni suala mtambuka
Lina hitaji mjadala mrefu sana na uthubutu wa hali ya juu
We have a long way.....
AaliyaaaaMshua master![]()
AbeeAaliyaaaa
Nakodoa machoMshua master![]()