sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Ni kweli likizo they need to relax but shida ni kwamba mfumo WA SASA watoto wanakariri kuliko kuelewa kutokana na content wanayosoma either ni kubwa au ni ngumu.Sindio maana ya likizo jamani????
Mbona nyie wakubwa mkiwa likizo hamchukui kazi za kufanya kipindi cha likizo????
Raha ya likizo ulale late, uamke late. Mtoto apumzishe akili, ale hovyo, atembee, acheze michezo ya ndani na ya nje.... sio aanze kuwaza kazi za shule tena. Sana sana awe na ratiba ya kujisomea storybooks kidogo kila siku.
SASA walimu wanachofanya ili hawa jamaa wasisahau kitu inabidi wawape holiday package.
I think that is a reason for package to them.



