Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sindio maana ya likizo jamani????
Mbona nyie wakubwa mkiwa likizo hamchukui kazi za kufanya kipindi cha likizo????

Raha ya likizo ulale late, uamke late. Mtoto apumzishe akili, ale hovyo, atembee, acheze michezo ya ndani na ya nje.... sio aanze kuwaza kazi za shule tena. Sana sana awe na ratiba ya kujisomea storybooks kidogo kila siku.
Ni kweli likizo they need to relax but shida ni kwamba mfumo WA SASA watoto wanakariri kuliko kuelewa kutokana na content wanayosoma either ni kubwa au ni ngumu.

SASA walimu wanachofanya ili hawa jamaa wasisahau kitu inabidi wawape holiday package.


I think that is a reason for package to them.
 
Na maswali ya siku hizi.

Kuna somo linaitwa social studies na jingine civic and moral Yani humo kuna maswali pasua kichwa.
Hahaha.....................ni balaa Mkuu

Kinachonisaidia ni kuwa I was good at Maths and English, vinginevyo ningepata tabu sana.

All in all, hizo homework zao zinatufanya wakati mwingine tupate nafasi ya ku interact na Watoto, manake kila siku tupo busy kutafuta hela tu 🙌
 
Ndio maana tukaletewa Google 🤓🤓🤓
Hahaha......................kwa kweli 🙌

Ila kwasasa muamko kuwasomesha watoto shule nzuri umekuwa mkubwa, last time nimeenda Visiting day nakutana na Wamasai wanasomesha watoto wao hiyo shule.

Nikawaza kama speed ya kuitafuta Elimu imekuwa kubwa hivyo baada ya miaka 15 ijayo huenda rate ya Wajinga itapungua kwa asilimia kubwa kidogo
 
Hahaha.....................ni balaa Mkuu

Kinachonisaidia ni kuwa I was good at Maths and English, vinginevyo ningepata tabu sana.

All in all, hizo homework zao zinatufanya wakati mwingine tupate nafasi ya ku interact na Watoto, manake kila siku tupo busy kutafuta hela tu
Sisi wenye allergy na kingereza tunateswa saana.
 
Hahaha......................kwa kweli

Ila kwasasa muamko kuwasomesha watoto shule nzuri umekuwa mkubwa, last time nimeenda Visiting day nakutana na Wamasai wanasomesha watoto wao hiyo shule.

Nikawaza kama speed ya kuitafuta Elimu imekuwa kubwa hivyo baada ya miaka 15 ijayo huenda rate ya Wajinga itapungua kwa asilimia kubwa kidogo
Na wamasai wengi ni vipanga

 
Hahaha..............watafutie Mwl wa English awasaidie

Ila nimeona watoto wengi wanaosoma shule za English Medium wanafundishwa mambo mengi ambayo sisi Wakati tunasoma tulifundishwa Form I au II.
Yes.

Siku hizi Wana calculate paka density na pulley
Haya mambo ndio yaliyofanya tukakimbia fiziks.... Bado mtoto anakuuliza tena
 
Hahaha......................kwa kweli 🙌

Ila kwasasa muamko kuwasomesha watoto shule nzuri umekuwa mkubwa, last time nimeenda Visiting day nakutana na Wamasai wanasomesha watoto wao hiyo shule.

Nikawaza kama speed ya kuitafuta Elimu imekuwa kubwa hivyo baada ya miaka 15 ijayo huenda rate ya Wajinga itapungua kwa asilimia kubwa kidogo
If only mfumo wetu wa elimu ungeboreshwa.😵

Bado hatujafikia kuwa na wasomi wanaoweza kupambana na soko la nje kwa kiwango cha juu kwasababu watoto wetu bado hawafundishwi ili waelewe, wanakaririshwa ili wafanye vizuri kwenye mitihani.

Wale waliopo kwenye shule za International kweli ndio wenye advantage. Huku kwingine inabidi wazazi tuweke juhudi za nyongeza.🥴
 
20230508_190936.jpg
 
If only mfumo wetu wa elimu ungeboreshwa.

Bado hatujafikia kuwa na wasomi wanaoweza kupambana na soko la nje kwa kiwango cha juu kwasababu watoto wetu bado hawafundishwi ili waelewe, wanakaririshwa ili wafanye vizuri kwenye mitihani.

Wale waliopo kwenye shule za International kweli ndio wenye advantage. Huku kwingine inabidi wazazi tuweke juhudi za nyongeza.
Kwenye international schools wale wanasoma content kidogo alafu na exposure ni kubwa to the world plus confidence

Ila ukiweka hawa watoto wetu english na WA international school wakwetu kwenye content wapo vzr saana.

Sijui tunakwama wapiiii.
 
Back
Top Bottom