Hiyo ya Mwaza ni Cask au Kasiki.Chako ni chako jamani wale vyukuu enzi hizo.
Sema imekaa sana road, gari ikikosea njia kidogo imesomba wateja.
Rainbow sio sanaaaa
Liquid kwanza inawapigia kelele wanafunzi wa TIA na Jitegemee.
hii inanikumbusha mbali sana 😂Tunaokoa muda....
View attachment 2614457
Asipoelewa asije kutoa lawama hapa, Imagine kipindi kile napatwa huo mkasa kulikuwa hakuna mtindo wa kuirukia, wala kuimba na Mic 🎤Mfundishe maisha huyo dogo
kila kitu kwa kiasi mzee 😂 ukizidisha umejitakia mwenyeweAsipoelewa asije kutoa lawama hapa, Imagine kipindi kile napatwa huo mkasa kulikuwa hakuna mtindo wa kuirukia, wala kuimba na Mic 🎤
Sasa miaka yenu hii si ndiyo balaa, watu wanaujuzi hadi wa kumchora Popo akiwa angani 🤪🙈🏃🏃🏃🏃
Hata sijui B.Hiyo ya Mwaza ni Cask au Kasiki.
Ukiweza kujua hilo utakuwa umetisha, na lazima utoke na First Class 🙌kila kitu kwa kiasi mzee 😂 ukizidisha umejitakia mwenyewe
Dr Kama DrTunaokoa muda....
View attachment 2614457
Sema pera bana
Hahahah
Chako ni chako kuna manyauuuu saanaChako ni chako jamani wale vyukuu enzi hizo.
Sema imekaa sana road, gari ikikosea njia kidogo imesomba wateja.
Rainbow sio sanaaaa
Liquid kwanza inawapigia kelele wanafunzi wa TIA na Jitegemee.
Itakuwa cask..Hiyo ya Mwaza ni Cask au Kasiki.
Type zenu hiziiiiiii.
Dogo ameliamsha ndani ya gari 😄 akifika home ni mwendo wa ⛹️♂️ 🚵 🎮 mpaka sa2 taarifa habari ya ITV itakapoanza 😀Tunaokoa muda....
View attachment 2614457
Zote izi umezitembelea we mzeee!Itakuwa cask..
Hongera kuwa mfuatiliajiTunaokoa muda....
View attachment 2614457
Dogo nuksi weweAsipoelewa asije kutoa lawama hapa, Imagine kipindi kile napatwa huo mkasa kulikuwa hakuna mtindo wa kuirukia, wala kuimba na Mic![]()
Sasa miaka yenu hii si ndiyo balaa, watu wanaujuzi hadi wa kumchora Popo akiwa angani![]()
