Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Wafungie tu!
Sasa hivi nimehamia berbershop.
Wafungie tu!
We sema hivyo alafu uje utoe tangazo hapa unaomba tukuchangie nauli urudi kwenu 🤪Grahams hawa ni warahisi sana 😂tulia uone....
Kuna watu wana matatizo ya gesi tumboni kwao siyo mazuri.Wali sio mzuri na maharagwe
Hawajui hawa watu, nimemtolea mfano sehemu ili ajifunze lakini wapi Bwana. Anajifanya eti naye ni wa Mjini 😅🙌🏃Namuonea huruma saan
Nimesoma gazeti la mwananchi wamesema ni mziki tu ndio wamezuia mambo mengine yanaendelea kama kawaida
Mfundishe maisha huyo dogoWe sema hivyo alafu uje utoe tangazo hapa unaomba tukuchangie nauli urudi kwenu 🤪
Me iliwahi kunikuta mwaka 47 wakati nipo high school huko Tanga, ilibidi Kijiji kiuze ng'ombe kije kunikomboa.
Otherwise, yule mtu alikuwa analoweka nguo zangu kila siku zisikauke 🤪🏃🏃🏃
Kwanini hujala 😂😂Ndio kasufuria ketu ka ugali...alafu mi sijala. 🙈🙈🙈
Ila wageni wameniwakilisha vizuri, ungekuwepo ungefurahi mwenyewe!🙂
View attachment 2614387
Twende kuzurura 😅Hahaha mie niko Arusha ndio maana nkasema majiran zang
Hahaa
Hail to the queeen
Itakutisha uskuMzee mzeee.
Hiyo picha nimeiprint nimeweka ukutani.
one day yes 😂Kwambaaaaaaaa
itabidi ahamie arusha ila aache kunyonya lips watamuharibu 😂
Keep on dreaming totooone day yes 😂
Chako ni chako jamani wale vyukuu enzi hizo.
Sinza madukaniUnapita unaenda wapi
kisa....Namuonea huruma saan
Nipitie na mimi hapa KijiweniSinza madukani
Waonevu hao itakuwa wana wivu na wavuvi kempu yetu