🤣🤣🤣 Mm nimebadili ratiba ya kula nakunywa sana juis fresh usiku hivo nakuwa nakula chakula kidogo sana napiga juis glass 2😀SAS sijui napunguza au naongeza nyie🤣🤣
Kuna mtu aliweza, yaani muda huu ndiyo anakula chakula cha usiku. Aliacha kula dinner sijui kuanzia saa 2 usiku na kuendelea. Kama unaweza hili hadi mwili unapungua.