cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Nakuonaaa nakuonaaa.Asante
Shangazi Yako nipo kama kawa kama dawa
Nakuonaaa nakuonaaa.Asante
Shangazi Yako nipo kama kawa kama dawa
Kwanza ke unaanzaje kutafuta mtu aisee . Ngoja nitulie zangu asante dadaHongera dear, tulia wee usimsikilize huyu gahbaaa wa kingoni coca
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahaha aise tuepuke hii dhambi yenye vishawishi mno .dear mie sitaki, kujunjana ni dhambii
We wale kataa Ndoa wagonjwa akili...wee mlongoo, hujui wanaume hawaoi sahv? Kataa ndoa movement ipo mbna JF??
bora apate uzoefu aseeeh.![]()
Yaani kero tupu Kwa kweliHii app yaan bas tyuuh, manjegeka mengii.
![]()
Mlongo maisha mafupi, acha tujunjane tyuuh.
![]()



we wanaume Hawa shoga utaumiza mgongo tu fanya Kwa kiasi bwana weeewe wanaume Hawa shoga utaumiza mgongo tu fanya Kwa kiasi bwana weee
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app



ila kweli mlongo.Hapanaa




Yaan inaboa mnoo
😃😃😃 emoj mbona zinatoka vizuri tu mkuuHivi wataalaam wa IT wakina Wigelekelo National Anthem hamnaga maujanja ya apps za kuondoa emoj...???
Nimeipata mkuu.Ipo ya kulipia mkuu...
Inaondoa emoji, swirls na kila aina ya overlays.
Naipenda sana![]()
Anakuja na hela zake 😃😃Kikao chetu cha leo asubuhi kwa kauli moja kimewateua National Anthem na Kapachino wakuoneshe viwanja vyote vya burudani hapo Mjini 😜
Waje na hela zao tu, tutawaoneshaaa kila starehe wanayotakaHii kazi ngoja tumpe National Anthem pamoja na Kapachino , wengine umri umetutupa mkono 😜
Nisaidie kutoa ile ya ua la mrembo Dr Lizzy (Phd)😃😃😃 emoj mbona zinatoka vizuri tu mkuu
Nisaidie kutoa ile ya ua la mrembo Dr Lizzy (Phd)
Niko hapa 👀Leo ni bandika bandua selfie hazikauki hapa
Usikae mbali boss lady
Sikupati mkuuSamaleko