Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
NipoSikupati mkuu
Nilikuwa naikata Zambezi
Ndio naitafuta Lusaka
NipoSikupati mkuu
Safiii kabisaaa swafari njema
Nitamletea jezi ya manutd, itampendeza zaidi!😃
Ataelewa sasa??? 😄😄Nitamletea jezi ya manutd, itampendeza zaidi!😃
Nitamuelewesha tu!😅Ataelewa sasa??? 😄😄
Ushindi tu!😊😄😄😄
Nasubiria matokeo!!😁
Ukishinda namuongezea ya pili 🙂Ushindi tu!😊
Unamuongezea au nitamuongezea ya pili?away kitUkishinda namuongezea ya pili 🙂
1-0 🫶Ukishinda namuongezea ya pili 🙂
kila la heri watani mshinde tu otherwise tuwachekeTumemaliza manutd..mida wa wananchi sasa
😀😀😀kila la heri watani mshinde tu otherwise tuwacheke
kila la heri watani mshinde tu otherwise tuwacheke
Sasa wee unaogopaa nn?Kunamtu nilikuwa naongea sikujua km shabiki wa Yanganikasema wafungwe wee nimekatwa jicho nikawaombea washinde tu bila kupenda
![]()





Hapana lkn mtu mzima nikaona nitakosa B😭baraka za wazee😂😂😂Sasa wee unaogopaa nn?
Ndo anaekuweka mjini?? Uwiiiiih
Hahaha ungemtania , mbona wametucheka sana sieKunamtu nilikuwa naongea sikujua km shabiki wa Yanga
Akipata boom atakuja mumuoneshe hayo maeneo ya Bata 🤗Anakuja na hela zake 😃😃