Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,591
- 35,846
Yatch ndo nn?? Duuh kweli mie mgeni na Dunia.
Nibaki kwenye kuchezea na kulilia mikunyengee, hayo menginee yanipitee tyuuh.
![]()










ujawahi pelekewa moto ukiwa kwenye yatch ww dogoYatch ndo nn?? Duuh kweli mie mgeni na Dunia.
Nibaki kwenye kuchezea na kulilia mikunyengee, hayo menginee yanipitee tyuuh.
![]()










ujawahi pelekewa moto ukiwa kwenye yatch ww dogoHata hapo mlimani city penyewe niliwahi ingia mara 1, sijawahi enda tena, napaona tyuuh.Siku moja moja mumpe Ofa huyu Mwanachuo akainjoi Yatch hapo Town sio kila siku outings zake ni kuzurula hapo Mlimani City tu
cocastic nipigie First Class final year nikupe ofa ya kwenda kuinjoi Yatch ukiweza![]()




Jamani ukweli mie sijui dear, ndo maana mda nliuliza hiyo Meli au boat, ndo najua zinakaa kwenye maji.Nitashangaa sana kama hajui na nitajitolea kumjuza... mambo poa kabisa, za miaka tele?
Mara ya mwisho ulitoa tamko mechi ya rivers Nigeria?
Sasa mie yatch naijulia wapii??ujawahi pelekewa moto ukiwa kwenye yatch ww dogo




Zitwist tu kama Mimi.Mbona mapema ndugu mje mnipe ushaur niwek dawa gani nywelezangu nimechoka kusuka
mie nitachangia umpeleke pale yatch club,sleep way mambo poa,nipo town porini nimetoka kwa muda, vp bd uko kisiwani?Nitashangaa sana kama hajui na nitajitolea kumjuza... mambo poa kabisa, za miaka tele?
Nipooo mnyamaaa ..Kwakweli Bantu Lady afanye wepesi ayaweke sawa sumbai arudi tumemmis sana eti!!!!Mara ya mwisho ulitoa tamko mechi ya rivers Nigeria?
hahaha!
Embu fanya kutoa tamko Tena
Si alisema atarejea akisikia tamko lako jingine.
Hivi Antonnia Yupo kweli mbantu au kani block.
Ndiyo uanze kujifunza kuzurura weekend moja moja, siku ukiambiwa upeleke CV hapo Mikocheni itakulazimu uombe msaada wa Boda boda kuulizia 😜Hata hapo mlimani city penyewe niliwahi ingia mara 1, sijawahi enda tena, napaona tyuuh.
Mie nazurura venue za chuo basi. Kuna lect aliwahi kutuchamba wa mkoani, nilishika maneno yakee.![]()
Hii kazi ngoja tumpe National Anthem pamoja na Kapachino , wengine umri umetutupa mkono 😜Eeeh bwana mumuonyeshe na starehe pia
Tutafute pesa kwanza , raha sana kuwa na uhakika wa pesa .Kumbe ndo hivi Dear?? Ngoja na mie nitafute pesa kwa nguvu, ili baadae nisisumbuliwee.
![]()
Chagua nyama moja ya kuinjoi nayo wakati unamtunzia Muoaji, hatutaki fedhea ya kurudishiwa mahari kwamba yaliyomo hayamo🏃♂️🏃♂️Nyama ngumu
Mti nyama
Etc,![]()
Umekata sana mbantu wetuSiku moja moja muwe mnaangalia kimvuli kama hivi... weekend njema nitarudi Yanga ikishinda 🤗View attachment 2604804