MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,444
- 69,265
It doesn't.It doesn't.....Mti...never gets old
It doesn't.It doesn't.....Mti...never gets old
Umeshikishwa izo mkuu... Zile zenye vidoti doti ndio ndizi mbivu original
![]()
Umeshikishwa izo mkuu... Zile zenye vidoti doti ndio ndizi mbivu original
![]()
Mkuu kuna ndizi zenye vidoti na nyingine hazina ata kama iive adi iozeHivyo ilivyo ndio sahihi maana ina fibre nyingi, ipo na antioxidant zaidi, less sugar
Ile yenye vidoti imeiva zaidi hivyo fibres ni chache, sukari nyingi, less antioxidant effect
Ni stages tu katika uivaji hadi inaelekea kuoza..
Watu na pisto zenu.Nawasalimu. View attachment 1270309
Nawasalimu. View attachment 1270309



Siamini kama hutaki kabisa kuimbiwa Karaoke ya kwenye simu



kaka amka usingizini jamani utapee
Wenzanko tumenyakuliwa...
Hivyi ninavyochat hapa nipo mkono wa kuume wa Mungu baba, tupo na Simon Petro na Andrea nawafundisha jinsi ya kuanzisha uzi jukwaa la Dini
Nifanyie mwamala hapo !
Watu na pisto zenu.
Asante Eli.Utakuwa magharibi mwa dunia Paula, sisi huku mashariki jua linawaka ni hatari. Usiku mwema...
Mshanajr mambo yetu View attachment 1270337
Subiria natupia sasa hivi akiTupia kapicha kako tuoshe mecho
Hasa mimi, sijui ni katatizoo🙂🙂🙂 nasikia ndio kitu cha kwanza mnaangalia
NotedWe need to make useful moments for life with the people we meet here n there