Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivyo ilivyo ndio sahihi maana ina fibre nyingi, ipo na antioxidant zaidi, less sugar

Ile yenye vidoti imeiva zaidi hivyo fibres ni chache, sukari nyingi, less antioxidant effect

Ni stages tu katika uivaji hadi inaelekea kuoza..

Umeshikishwa izo mkuu... Zile zenye vidoti doti ndio ndizi mbivu original


[emoji23][emoji23]
 
Hili eneo linafaa sana wale wenzetu wa A table for two[emoji23][emoji108]


IMG_4117.JPG


IMG_4118.JPG



IMG_4119.JPG



IMG_4115.JPG
 

Attachments

  • IMG_4117.JPG
    IMG_4117.JPG
    148.7 KB · Views: 11
Riziki na fursa ni kama basi la abiria. Kila fursa na kila riziki inakupeleka katika uelekeo fulani, inakukutanisha na watu fulani, inakupitisha katika hatari fulani na kukupa mafanikio ya aina fulani. Usidandie bila ya kusoma kibao.
 
Back
Top Bottom