Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,469
....
Kilichobaki hapo ni kukupigia na kukuimbia huo wimbo au sioSipo kokote zaidi ya JF na IG tu,, kuwasiliana natumia meseji za kawaida tu na kupiga na kupokea basi..
Watu wasivyo na huruma huwa wanatengeneza maporomoko kama haya kwenye miili ya watu
Kilichobaki hapo ni kukupigia na kukuimbia huo wimbo au sio
No nilikuwa 150kph wakaniambia eti natakiwa nipite eneo hilo na 50kph..... seriously 50kph sasa kwanini gari ina 260kph? 😡😡Kwa hiyo ukiwa unawahi kwa agata edward ni mwendo wa speed ya 240!
Tims.....
View attachment 1270202
Siamini kama hutaki kabisa kuimbiwa Karaoke ya kwenye simuHahahaha nitaenda kuutizama youtube
Hii kitu nazeeka nayo,siwezi kuiachaMti...never gets old
Nyie mwenzenu app yangu ya JF sijui ina nini tangu jana sioni avatars za watu kwa notifications,, au labda hili tatizo siyo langu peke yangu?? Mtandao uko vizuri tuView attachment 1270224View attachment 1270225
Hii kitu nazeeka nayo,siwezi kuiacha
😂 😂 😂 😂 utamuua na pressure Behaviourist .Acha maneno tupia selfie.....njoo South beach naelekea hukoView attachment 1270233 na agata edward
Ha ha ha hata Mimi navaa kwa kubipu, pamoja na gari auto huwa inachafuka....in general not comfy for drivingGot mine, ila naivaa mara chache maana kukanyaga pedal inakuwa mguu unachoka...driving almost 40kms per day inakuwa mbaya
Ndioo ndiooKwa hiyo ukiwa unawahi kwa agata edward ni mwendo wa speed ya 240!
Umetumwa?!Tumeshalipa😎😎😎
😂 😂 😂 😂 😂Umetumwa?!
Umetisha sana RRONDO.Tims.....
View attachment 1270202