Sci_fimovies
Member
- Sep 15, 2019
- 43
- 98
Nashukuru sana jaman ...[emoji7][emoji7][emoji7]Acha kabisaaa,yaani haha yaani ngoja nitasema siku nyingine,simple but classic [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Nashukuru sana jaman ...[emoji7][emoji7][emoji7]Acha kabisaaa,yaani haha yaani ngoja nitasema siku nyingine,simple but classic [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Utakuwa magharibi mwa dunia Paula, sisi huku mashariki jua linawaka ni hatari. Usiku mwema...Sawa ngoja nilale kwanza. Pakikucha nitapiga picha niposti.
Nimekuja 😂😂😂
Nlikumiss jamani haaaa jana ujue sijakuonaP
Nimekuja 😂😂😂
Fanya kinachotakiwa basi
Mungu anasaidia[emoji120][emoji120]Na wewe pia mkuu vipi mguu unaendeleaje ?
Viatu challenges hahaha daaaah [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji23]
mbona sioni chochote.
[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]Mbona umereact kama kitu kibaya [emoji23]
Zote ziko mwaaaaJe hii [emoji23][emoji7][emoji23]View attachment 1270007
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu haya mambo ndiyo yanayonifanyaga niseme nina miaka 42 na nina mume na watoto shwain kabisa,, na ninasema hivi bahati yenu mshukuruni sana Mshana Jr na tunguli zake fisi nyie..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mshana nakulaani mno mimi
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Chukua hapo kwenye bahasha ya kakhi kubwa
Hahaha [emoji7][emoji7][emoji7]Zote ziko mwaaaa
Nimeota tupo kwenye ndege mojawapo ya ATCL ile crew inatuimbia wimbo wa Beautiful people.Baby naomba ulale sasa,, usiku mwema niote mimi..
😊😊😊😊Hahahaha weweeeee
Unakosea kutokuniamini[emoji848][emoji848]sikukosea kutokukuamini
Mpenzi hadi saa 8 usiku upo macho. Shida nini ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]she is engaged
Nashukur kaka....
Huwa najifunza kupitia mitandao namna kumetisha
ukivaa mkanda mweusi lazima kiatu kiwe cheusi
Ukivaa suruali inabidi ifanane na soksi zako
Pia, muonekano wa mtu kupendeza hauangaliwi na gharama za nguo alizovaa bali ni KIATU mfn mtu akivaa suti ya gharama ata milion af chini akitupia kandambili we unahisi atapendeza??!! [emoji23]
Wanasaikolojia wanasema ukikutana na mtu kitu cha kwanza katika mavazi wanachoangalia ni KIATU[emoji148][emoji151][emoji150][emoji152][emoji149] af vinafata vingne, jichunguze ata ww
USHAURI; Jitahidi kuvaa kiatu kizuri kiuhalisia utaonekana umependeza ata ukivaa nguo mtumba ila ukivaa nguo bei ghali af kiatu kibaya au kichafu huwez pendeza
Asante
Hakika serikali ya maccm inawajali sana wananchi wake hasa wananchi wanyongeNdio ndio mkuu..pongezi zote ziende kwa serekali ya awamu ya 5 kwa kufanikisha hilo