Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna siku nilivaa sketi yangu Fulani
Si fupi sana , ila nikinenepa huwa inapanda sana juu
Sasa bana, nilivaa nikaona imebana sana hadi inapanda juu,,
Nikapotezea nikatoka.

Aisee[emoji1787][emoji1787]nilitembea Kwa shida ile siku.. Safari niliona mbali wakati ni Mbezi tu stand hapo.
Kila nikipiga hatua inapanda juu
Na upepo unapiga huku nyuma mpasuo inazidi kupanda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mchapeni anapasuliwa huku[emoji23][emoji23]
JPEG_20230422_203302_2329066039094448626.jpg
 
Back
Top Bottom