cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Kuna siku nilivaa sketi yangu Fulani
Si fupi sana , ila nikinenepa huwa inapanda sana juu
Sasa bana, nilivaa nikaona imebana sana hadi inapanda juu,,
Nikapotezea nikatoka.
Aiseenilitembea Kwa shida ile siku.. Safari niliona mbali wakati ni Mbezi tu stand hapo.
Kila nikipiga hatua inapanda juu
Na upepo unapiga huku nyuma mpasuo inazidi kupanda.







