Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

jaribu uende hhvyo siku moja . Utadamshi kweli .
Kuna siku nilivaa sketi yangu Fulani
Si fupi sana , ila nikinenepa huwa inapanda sana juu
Sasa bana, nilivaa nikaona imebana sana hadi inapanda juu,,
Nikapotezea nikatoka.

Aisee🤣🤣nilitembea Kwa shida ile siku.. Safari niliona mbali wakati ni Mbezi tu stand hapo.
Kila nikipiga hatua inapanda juu
Na upepo unapiga huku nyuma mpasuo inazidi kupanda.
 
Back
Top Bottom