Amefichwa huko BariadiAkuje huyo sijui kapotelea waapi
Au wewe ndo umemficha?
Amefichwa huko BariadiAkuje huyo sijui kapotelea waapi
Mimi huyuhuyu??Shem yupo sahihi au siku ukitoka out naye labda dinner uvaepo
Nimekuta bei poa sana vinauzwa😂sasa unanunua afu huwezi kuvaa? Jamani uwiiiih
Nimekuta bei poa sana vinauzwa
Nikasema ngoja nibebe
Sijui nimpe Lizzy, angalau kwake vitakuwa virefu kidogo



mie mroho wa kila nguo. Nikiona nzuri na naipenda naichukua, km siwezi vaa public navaa kupigia picha, afu naiweka kwa begi, siku akitokea wa kupewa nampaaa.





Kabisamie mroho wa kila nguo. Nikiona nzuri na naipenda naichukua, km siwezi vaa public navaa kupigia picha, afu naiweka kwa begi, siku akitokea wa kupewa nampaaa.
![]()
Mimi hapaMama mchungaji
Hapa umenenabeach hadi lini , na vigauni vizuri hivyo jamani hapana . Tafutia hata tight au stockings . Hapa nipo na kigauni kifupi na kitight
Yani Anne na shape hiyo hutaki kuvaa vimini , upo na babe mnatoka out unakivaa zako , huna habari .Mimi huyuhuyu??
Nadhanigi nguo fupi siyo za kila mtu
Shepu gani?Yani Anne na shape hiyo hutaki kuvaa vimini , upo na babe mnatoka out unakivaa zako , huna habari .
Kuna nguo unaikubali, ila yenyewe inasema mie sio chaguo lako, tunabeba hivyo hivyo.Kabisa
Mwenyewe nikiona nguo nzuri na hainitoshi
Ila Kuna ila Kuna mtu nahisi itamtosha basi nabeba







hapo uende kwa sherehe , na kigauni kifupi plus heel ndefu matatata na simple makeup .Hapa umenena
Nitatafuta tight
Salama mama mchungajiMimi hapa
Mambo vipi Mkuu
Selfie yako ipo wapi?Salama mama mchungaji
Mwee😂hapo uende kwa sherehe , na kigauni kifupi plus heel ndefu matatata na simple makeup .
Kabisa 😂Kuna nguo unaikubali, ila yenyewe inasema mie sio chaguo lako, tunabeba hivyo hivyo.
Hakuna namna.![]()
jaribu uende hhvyo siku moja . Utadamshi kweli .Mwee
Kuna siku nilivaa sketi yangu Fulanijaribu uende hhvyo siku moja . Utadamshi kweli .
Ngoja nimpe mawili Dr Lizzy (PhD)
unatembeaa zako bila habari , acha ipande tu itajijua Saint AnneKuna siku nilivaa sketi yangu Fulani
Si fupi sana , ila nikinenepa huwa inapanda sana juu
Sasa bana, nilivaa nikaona imebana sana hadi inapanda juu,,
Nikapotezea nikatoka.
Aisee