Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakubusu uwe una selfika kidogo basi sio unajificha ficha kama paka 😁😁😁😁😁😁😁

Au umekuwa kunguru
 
Nakubusu uwe una selfika kidogo basi sio unajificha ficha kama paka 😁😁😁😁😁😁😁

Au umekuwa kunguru
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜πŸ˜πŸ˜,SIPENDI AMANI susijal Nita selfika kwaajil yko πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ€—πŸ€—πŸ€—
Nakubusu uwe una selfika kidogo basi sio unajificha ficha kama paka 😁😁😁😁😁😁😁

Au umekuwa kunguru
 
Ooh okay , wameshika dini haswa
Anakudanganya
Mbona wengi wanavaa,team za siku hizi nyingi ndo pigo zao,,vimini,suruali.
Na wanapendeza.

Nadhani ni background tu ya mtu
Alikokulia.
Mimi sijakulia mazingira ya hizo nguo..nimezaliwa kwenye manguo ya marinda ndo maana nazishangaa hizi.

Lakini wengine toka wanazaliwa wanavalishwa.
 
Anakudanganya
Mbona wengi wanavaa,team za siku hizi nyingi ndo pigo zao,,vimini,suruali.
Na wanapendeza.

Nadhani ni background tu ya mtu
Alikokulia.
Mimi sijakulia mazingira ya hizo nguo..nimezaliwa kwenye manguo ya marinda ndo maana nazishangaa hizi.

Lakini wengine toka wanazaliwa wanavalishwa.
nimeanza kuvaa suruali miaka ya 2017 kweli kabisa , mie hata suruali sinaga , nimepungua hazinitoshi tena .
 
Anakudanganya
Mbona wengi wanavaa,team za siku hizi nyingi ndo pigo zao,,vimini,suruali.
Na wanapendeza.

Nadhani ni background tu ya mtu
Alikokulia.
Mimi sijakulia mazingira ya hizo nguo..nimezaliwa kwenye manguo ya marinda ndo maana nazishangaa hizi.

Lakini wengine toka wanazaliwa wanavalishwa.
Marinda

Yamefanyaje
 
Kwanini zkaitwa hivyo

Ndio zikoje
Zamani wadada walikuwa wanavaa jeans za boyfriend zao . Na wakawa wanapendeza , designers wakaamua watengeneze jeans zenye muonekano wa kiume ila wanaovaa ni wakike . Muonekano wa hizi jeans ni loose and baggy , pana pana hivi na ukivaa unakuwa relaxed ukipata inayoendana na body size yako unatokelezea
 
Zamani wadada walikuwa wanavaa jeans za boyfriend zao . Na wakawa wanapendeza , designers wakaamua watengeneze jeans zenye muonekano wa kiume ila wanaovaa ni wakike . Muonekano wa hizi jeans ni loose and baggy , pana pana hivi na ukivaa unakuwa relaxed ukipata inayoendana na body size yako unatokelezea
Kama Ile ulivaa

Siku Ile

Kule naniliu
 
Back
Top Bottom