Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Tatizo rangi kibao, tupia nyingine nimforwadieKhaaaah!!!
Tatizo rangi kibao, tupia nyingine nimforwadieKhaaaah!!!
Niazime basi nikajipachike Eid za watu hukonakuambiajeee nna heka heka balaaa, nilinunua mda mie mbna, liko tyuuh ndani.
Siku ya kufungua begi zangu watu watakutana na kila nguo washangaee, uwiiiiiiih
Leta no yakee ntamtumia tsup,Tatizo rangi kibao, tupia nyingine nimforwadie
Kesho nikuletee wapiii??Niazime basi nikajipachike Eid za watu huko
Leo nimeongozana na mtoto hapo chuoni kwenuIla kuna wakaka wanajua kujipigilia, kunukia, yaan wako co smart, kuna huyo m1 mie pigo zake hoiii,
Ile harufu yake siku sio nyingi ntamuuliza anatumia perfume au body spray ipi, noumaaa.
Afu kajua km namu admire, bas mda wote nikiwepo nae anakua around. Mweeeeeh

Bado ninazoKausha basi![]()
Nakuja hapo yudisim mapema asubuhiKesho nikuletee wapiii??
Upo Dar?Bado ninazo
Njoo uonje
Mimi siyo mchoyo kama wewe.
Niende wapi wakati nimefikaUpo Dar?

Eeh basi nitakukuta hapo mjini😊Niende wapi wakati nimefika![]()
Nitumie zawadi hata na bodaEeh basi nitakukuta hapo mjini![]()
Leo nimeongozana na mtoto hapo chuoni kwenu
Walikuwa wametoka kipindi,sasa Ile kutembea akanigonga begani
Alikuwa speed.
Ikabidi asimame,,"ooh sorry huku kananifutafuta bega,kananimassage huku kanatabasamu
Kazuri hakokahandsome,kananukia.
Nikamwambia usijali
Kakaniangalia,nikatabasamu.
Watoto wa chuo bana,sijui alijua na mimi mtoto mwenzie,![]()





yaan chuonii bhanaaa, ni full vuruguu, kila aina ya watu wapooo.Mwee mbona wana Mbeya watanipotezea Yudiiyaan chuonii bhanaaa, ni full vuruguu, kila aina ya watu wapooo.
Ukuje usomee sasa, tena kule kwa masters ndo balaa sasa, kila siku lazima niende venue ile.


Nitake ladhi mkuu
Mwee mbona wana Mbeya watanipotezea Yudii
Yule mtoto tu kalitaka nikalegezee
Nikakakazia
Huko masters si ndo kutavunja ndoa yangu kabisa
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app





utapiga maombi ki kweli kweli, wala usiogopeeeUlale ukue bossutapiga maombi ki kweli kweli, wala usiogopeee
Hivi jirani ndo umeniblock ehPole mdogo wangu
Ngoja nikuitie Carrasco akupigishe story usisinzie
Hapana naanzaje kuwa hivyo .Nipo vile vileIsije kuwa
Umeanza
Tabia mbaya
Nitakusemea