Ushapata mwaliko[emoji848]Eid mobarak
Ushapata mwaliko[emoji848]
Sijaona wa chuoMapema sana Nina mialiko 12
Mishangazi 3
Mama mkwe 1
Dada wa nguo 2
Madame 2
Baamed 2
Mjane 1
Wa kidato 1
Sijaona wa chuo
Shikamoo kaka , habari za usiku ?Dogo niamkie
Juzi tu unakojoa hapo
Nakuona [emoji848]
🤣🤣🤣View attachment 2593853
Leo ndyo TBT
Sitasahau nimetoka geto naenda kuwasilimia wazazi nipo hvyo nilipigwa na mwiko mpka leo sitak kuzisikia Jeans michano
MarahabaShikamoo kaka , habari za usiku ?
Hapana nisamehe sikuona vyema .Marahaba
Unajiona mkubwa sio[emoji848]
Isije kuwaHapana nisamehe sikuona vyema .
Muongooo hujatumaa hadi leo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona nilituma haijafika tu?[emoji2297]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] trip ya wapiii???Ndiyo[emoji1787]
Leo alikuwa anakaza shingo,nikamgeukia[emoji23]
Sema mkaka wa leo alikuwa ananukia jamani,nimetamani nimuonjeshe bisi.
Safari ilikuwa fupi.
Tag location bas ngoshaaa.Ofa kama hii
Mbona hunipagi asee