CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Nitaaanzia wapi mimi jirani?






Pole , kesho utakuwa mitaa ganiJaman kumbe Eid siyo leo tena
Mambo gani ya kwenda shule tena
Good morning dear TinsleyPole , kesho utakuwa mitaa gani
Marahaba mremboMorning kaka Mjep , umeamkaje ? Heshima yako , shikamoo .
ndoa yenu imebarikiwa , hakuna wa kuingiliaMwee mbona wana Mbeya watanipotezea Yudii
Yule mtoto tu kalitaka nikalegezee
Nikakakazia
Huko masters si ndo kutavunja ndoa yangu kabisa
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Pole , kesho utakuwa mitaa gani
nipo poa vipi wewe . One day yes nitaselfikaMarahaba mrembo
Uko poa.?
Usisahau kuselfika mdogo wangu
Ukitoka basi unishtue ,karibu sana . Mpeleke wifi hata Bagamoyo kwenye ma resort .Nitakuwa Lodge hapo bunju
Utanipika nn nijeUkitoka basi unishtue ,karibu sana . Mpeleke wifi hata Bagamoyo kwenye ma resort .
Tuma pesa ya shopping kwanza , niende nyuki hapo chap . Kwetu Mwanza hahaha , nipo ghetto .Utanipika nn nije
Upo geto au kwenu
Nipe namba yakoTuma pesa ya shopping kwanza , niende nyuki hapo chap . Kwetu Mwanza hahaha , nipo ghetto .
Tayari nimetuma , fanya muamala . Uenjoy vinono hapo kesho lolNipe namba yako
Kumbe upo geto hapo ndyo pazuri andaa mazingiria mapema basi nipitie viksi Lotion hapa
Ukiselfika usisahau kunitagnipo poa vipi wewe . One day yes nitaselfika
Nimejaribu kuimagine ninavyo kabwa na pilau huo muda😆😀😀Ukiselfika usisahau kunitag
Ukimuona mrembo Alayna mwambie akila pilau la Idd peke yake litamkwama asibanie huo mwaliko