Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
all is well , tupo tunabembeleza usingizi hapa .Niko poa sana boss wangu
Vipi wewe?
all is well , tupo tunabembeleza usingizi hapa .Niko poa sana boss wangu
Vipi wewe?
all is well , tupo tunabembeleza usingizi hapa .
Ndio maanaAnkol National Anthem ni my Brother huyo, mtake radhi bana
Humjui huyu ni kaka yangu kumbe?
Shida kaka Ngalikihinja hajatag vizuri dah... inaonyesha kama ndiyo mpumuaji eeeh![]()
macho yamechoka , nikifika tu ndani najua kusinziaMbona mapema sana boss wangu
Subiri subiri walau ifike saa 6
Kuna siku marafiki tutatengana
hatutaonana tena wala kuwasiliana.
Wengine umri utakuwa umeenda
sana wamekuwa wazee na wengine hawatakuwepo duniani.

Tutakumbuka
tulivyokuwa tunachat
tutakumbuka tulivyokuwa tunapendana
na kushirikiana
tutakumbuka tulivyokuwa vijana wenye nguvu
tukikimbizana
huku na kule lkn hatutaweza kuwa pmj tena.
Labda bado tutakuwa na picha
za marafik zetu tutaziangalia na kukumbuka mengi.

Watoto na wajukuu zetu watatuuliza 
?"
Kwa maskitiko tutawaambia "Ni wapendwa wetu tulioshirikiana na kupendana nao" 



Huzuni zitatufunika maana hakutakuwa na njia ya kuonana tena zaidi ya kukumbuka enzi zetu!
Huu ni wakati wa kufurahi na marafiki

na kutendeana mema ili tusije kujuta baadae.
Huu ni wakati wa kupendana na kila aliye karibu na wewe.

Onyesha upendo
na moyo
wa furaha kwa kila unaechat nae kwa sasa.

Tunza kumbukumbu za yale mazuri unayotendewa na marafiki zako
Tunza picha zake kwa bidii

Kama unakubaliana na mimi wakumbushe marafiki zako wote kuwa upendo
ni kitu cha thamani sana!!


Mkumbushe kila unayechati naye kuwa hataendelea kuchat na wewe milele hivyo autumie huu wakati
vizuri. 

Kama na mimi ni mmojawapo nikumbushe kukuthamini na kukutendea mema 











Pole mdogo wangumacho yamechoka , nikifika tu ndani najua kusinzia
Chino
Itabidi nikaribie hapo siku mmoja!Chino
Hizi kazi kama zote
Sema UTI sugu
Ndio nyumbani kwao
Kumekuchaaa, kumekuchaaaa.Mbavu nene,2017.Njaa sio jambo la mchezo aisee.View attachment 2586728
Ume tubless kitambo sana mkuuKumekuchaaa, kumekuchaaaa.
Hebu simama uonekane vizuri.
Aiseeeenimekufananisha na x wangu .
hahaha hujamboA
Aiseeee
Sijambo za kwakohahaha hujambo
Mzee nimeambiwa kuna UTI suguuu.
Naaam.Chino
Hizi kazi kama zote
Sema UTI sugu
Ndio nyumbani kwao