Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,561
- 35,798
Kazi hii mpe Coca
Huyo asije akanipa wakina juma lokole nikapata dhambi bure
Kazi hii mpe Coca
ni watu tofauti . Nahisi ungewashushua we balaaUwe unawajibu short tyuuh, wataacha wenyewee.
Huyo asije akanipa wakina juma lokole nikapata dhambi bure




ukute unawataka hao kina juma lokolee, ila unajishauaa hapaaa.ni watu tofauti . Nahisi ungewashushua we balaa




mie mbna wangekomaa kuulizaa.ukute unawataka hao kina juma lokolee, ila unajishauaa hapaaa.
Maana vijanaa bhanaa kwa kujizima dataa hamjamboo, mchana hamtaki, usiku ndo mnalala nao.










Tokaa wapiiii?? Jana uliomba links ya tovuti zilizofungwa, zilikua zinahusu nn??Embu niache huko pepo toka![]()




unajistukia tyuuh.hahahaha balaa . Sasa hizi naanza kudanganya , wasinipe ushaurimie mbna wangekomaa kuulizaa.
Tokaa wapiiii?? Jana uliomba links ya tovuti zilizofungwa, zilikua zinahusu nn??
unajistukia tyuuh.

















hahahaha balaa . Sasa hizi naanza kudanganya , wasinipe ushauri



kabisaaa yaan wachane makavuu.Na vikwapa vya watu.ila Anne bhanaa, kumbe ndo huwa unaogopa kupisha watu, haya bhana.
Kwa raha zangu nanyoosha na miguukabisaaaa.
siwezi kushushua watu . Mpaka nikasirike lol .kabisaaa yaan wachane makavuu.
Watakomaa mbna.
Sikuwezii kwa kweli, hii trauzaaa imekukaa mnooo









Good afternoon guysView attachment 2591969
🏃♀️🏃♀️🏃♀️Aloooo Toto hilo una uzur wa pekee ako