cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Pazuri sana.
Nakumbuka mara ya kwanza nimekuja miaka ya 2006 na 2007 dada yangu alipograduate
Nilikuwa nashangaa Kila kitu
Anatuonyesha madarasa
Mara Cafeteria
Nikawa namwambia sister na mimi siku moja ntakuja kusima huku.




UD km UD, yaan nikikumbukagaa huwa nacheka sanaa.
Wakati niko Advance, mda wote nawaza UDSM, Najisemea nikikosa kusoma hapo sijui itakuajee,
Ile siku na confirm, uwiiiiiih nilirukaa rukaaa, ila sahivi naona ulikua utoto tyuuh.

