CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Kama computer yako ina usb ports chache fanya juu chini upate hii accessory
Kwa nini ,si umepata chombo mpya ..Sitak hongera yako![]()
Kwa nini ,si umepata chombo mpya ..











we nimekuharibia wapi , fungua wallet hiyo . HudumiaSitak hongera yako![]()
Sema kweli?Sina hofu hata najua uko salama😂
Nakuaminia😂Sema kweli?
Kwa maji na mkate....😁😁Naishije sasa
Safiii, nileteee wawili
🙂🙂 kweli kabisaaaKwa maji na mkate....😁😁
Naenda kumchukua khumbuSafiii, nileteee wawili

Utakuja naeNaenda kumchukua khumbu
Jamaa alinitamanisha sana![]()
Kifo cha kuita wewe, jicho mkata roho!!Tafuta pisi kali unirushie namba
Sifa awe kajazia asiwe mfupi
Awe na mwanya
Awe na komwe kidogo
Awe mweupe kidogo
Awe anajua English na france
Asiishi Hostel
Asiwe mpare
Awe na jicho fulan la kukata roho
Awe mwaka wa 2
Mwambie mm broo wako
Sasa ulishindwaje nawe hata kutengeneza proposal ule madollari 😀hapoo tupaache, jaman hadi lunch eti nijilipiee mwenyewe. Akaaaah nlishindwaa bora nikimbizane na wamatumbi wenzangu, tunawezana wenyewee.
![]()
Kwa hiyo ukajua tu huyu kashajichanganya daadeki 😅Hukuona intavoo ya Mobetto??
Aliulizwa je Rick Ross alikupa dollar ngapi, eti anasema hakupewa mara tulikutana kirafiki wala sio wapenzi, yaan anaongeaa huku km anajistukia,
Nkajisemea watu wa ulayaa mchezooo,niliwahi date na jamaa mzungu, sitaki hata kuwasikiaaa, ukiombaa pesa utasikia lete projects plans,
Mbwaa yule sitamsahau kamweee,
Aliyenifundisha suruali mbingu ataisikia😂Sikuwezii kwa kweli, hii trauzaaa imekukaa mnooo
![]()
Njoo uwe mwamvuli wanguKiko wapi hko chombo
Ushaniharibia siku yangu![]()
