Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,479
- 55,032
Huku poa kabisa... Na maandamano yanaendelea 🤓🤝🙌Huku kupoo poaaa sanaaaa, vipii huko.
![]()
Huku poa kabisa... Na maandamano yanaendelea 🤓🤝🙌Huku kupoo poaaa sanaaaa, vipii huko.
![]()
Huyu jamaa wa Zenji hajamla kwa mpalange kweli? Maana sio kwa zigo lileNasikia ni jamaa wa Zenji, ni mfanya biashara wa Magari ana yard pia. Si ndo alikua anampeleka vacay Dubengaa, akakutana na Rick Ross ndo jamaa akaamua nae ajiachee.
![]()
Ujinga huu wao wanaona raha kutamba kuwalingishia wenzao halafu kadi iko kwa mwenye maliunahongwa kitu, ila uhalali wa umiliki sio wako
Wanataka uolewe kwanza ndo utoke . Watata hao , Jamani leo nimeshauriwa kuhusu ndoa aisee kwa nini sie wanawake tunawahi kuchakaa jamani ?Khaaah sasa usipange kisa nn? Km Una kazi ya kukupa kipatoo? Why not?
Hukuona intavoo ya Mobetto??Kwa jinsi alimshobokea na kumtupiamo kwenye mitandao big boss Ricky hata kama ni mimi ningempokonya ndinga yangu. Kwa hiyo madevu naye kamla Mobeto sijui kaumbulia nini kwa yule kibonge kwako Coca








niliwahi date na jamaa mzungu, sitaki hata kuwasikiaaa, ukiombaa pesa utasikia lete projects plans, 




Wanaume huwa tunakuwaga na mahesabu makali sana hasa tunapotoka na hawa slay na gold diggersWanaume wabayaaa
Mandhari tulivuuuu.Ud mnatupiga bao
Mitimiti kama yote
Kule kwetu miti ipo kipindi cha mvua tu,
Kiangazi utapakimbia.View attachment 2591893





Ila alikukula sio? 😅Nkajisemea watu wa ulayaa mchezooo,![]()
![]()
niliwahi date na jamaa mzungu, sitaki hata kuwasikiaaa, ukiombaa pesa utasikia lete projects plans,![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mbwaa yule sitamsahau kamweee
Au alifurahia kupigwa miti tu na msanii mkubwa? Daah 🤔Hukuona intavoo ya Mobetto??![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Aliulizwa je Rick Ross alikupa dollar ngapi, eti anasema hakupewa mara tulikutana kirafiki wala sio wapenzi, yaan anaongeaa huku km anajistukia,
Wanataka uolewe kwanza ndo utoke . Watata hao , Jamani leo nimeshauriwa kuhusu ndoa aisee kwa nini sie wanawake tunawahi kuchakaa jamani ?




ndoa itakuja kwa wakati wakee.Ila alikukula sio?![]()



hapoo tupaache, jaman hadi lunch eti nijilipiee mwenyewe. Akaaaah nlishindwaa bora nikimbizane na wamatumbi wenzangu, tunawezana wenyewee.







Ndo hivyohivi hii ni kweli, kuna mtu kasoma mkwawa, alisema cheti alichukulia UDSM main campus, nlijua anadanganyaa uwiiiii
Wanawasumbua mbna km hvyoo. Jion utanikutaa dada huwa natokaa saa 2 usiku.
Sasa bureee jomoneeee??Au alifurahia kupigwa miti tu na msanii mkubwa? Daah![]()






Duuh mbna wanawatesaa km ndo hivyoooo.Ndo hivyo
Wanakuja kutesa watoto wa watu kuchukua vyeti mjini.
Ndio system yao hivyo, miaka nenda miaka rudi.
Zamani ilikuwa hadi form za application za kujiunga unafuata chuo hukuhuku.
Msitu kama woteMandhari tulivuuuu.
Kula chumaa hiko.
![]()
Msitu kama wote
Napenda miti.
Siyo sehemu unakaaa,jua linakuunguza utadhani upo jehanam ndogo.





UD kwa miti ndo penyeweee, yaan ni msitu mnene.Wasafishepo machoDuuh mbna wanawatesaa km ndo hivyoooo.
Ila nao wanafurahia kupaona UD, wana enjoy.

Wasafishepo macho
Wengine ndo wanapafahamia hivyo Daslam
Nao wakirudi watahadithia tumetoka daslama.





kwa kweliiii.Pazuri sana.UD kwa miti ndo penyeweee, yaan ni msitu mnene.


