Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siyo inafika jioni wewe hufiki tu
Ntakufata hukohuko.


Baada ya muda nitaondoka.
Huyu ntamfata jioni,asije kupotea mjini hapa
Washazoea Mkwawa Milimani huko Iringa..
Halafu vyeti wanawapea mjini watoto wa watu waoshe macho.
hivi hii ni kweli, kuna mtu kasoma mkwawa, alisema cheti alichukulia UDSM main campus, nlijua anadanganyaa uwiiiii

Wanawasumbua mbna km hvyoo. Jion utanikutaa dada huwa natokaa saa 2 usiku.
 
Huyo kwa umbea wa mastaa tu hajambo. Hivi cocastic kwa nini Paula siku hiz hafungui lile duka lake la nguo la Paulah's Closet pale karibu na Mwenge Mpakani?
afungue sasa kuna kitu? Kwan lakee? Mastaa utawaweza sasa?? Yeye anajua kuulilia na kuukatikia ukuni wa wasanii na madanga.

Unajua kuwa Nenga na nandy wanaidaiwa hela ya range ya bday, kumbe walikodi kujimwambafy naloo. Nlitaka nshangae Nandy hela ya kununua range atoe wapii?? Yake enyewe alisota sanaaa mxxiiie na bila yule baba wa mjengoni asingekua nalo.

Eti leo anampa zawadi nenga Range nacheka km mazurii yaan.
 
afungue sasa kuna kitu? Kwan lakee? Mastaa utawaweza sasa?? Yeye anajua kuulilia na kuukatikia ukuni wa wasanii na madanga.

Unajua kuwa Nenga na nandy wanaidaiwa hela ya range ya bday, kumbe walikodi kujimwambafy naloo. Nlitaka nshangae Nandy hela ya kununua range atoe wapii?? Yake enyewe alisota sanaaa mxxiiie na bila yule baba wa mjengoni asingekua nalo.

Eti leo anampa zawadi nenga Range nacheka km mazurii yaan.
Leta vitu nakuaminia kwenye hii tasnia ya ubuyu 🤣🤣🤣🤣🤣 kumbee duka sio lake ni kujimwambafai tu

Ila kale katoto kapaula saivi wanakala sana maana hakana mishe yeyote hapa mjini pesa zake za kuukatikia ukuni tu kataishia kama mama yake na hivi shule ilimshinda
 
Hii kapo nayo kwa drama hawajambo Nandy ana mpunga gani wa kumuhonga Nenga Range

Hivi ile Discovery 4 aliyokuwa anatamba nayo Mobeto ni yake au ndo swaga za akina Nandy?
Mobetto Range atoe wapiiii??
Mwenye lake baada ya kumaliza kumkojolea vya kutosha kachukua ndinga yake.

Wasanii wananiachaga hoi kweli.
 
Mobetto Range atoe wapiiii??
Mwenye lake baada ya kumaliza kumkojolea vya kutosha kachukua ndinga yake.

Wasanii wananiachaga hoi kweli.
Wasanii kweli maisha yao yenyewe tu ni sanaa tosha yaani uhongwe utombweee weee halafu mwenye mali achukue alichokuonga akishakuchoka. šŸ˜…

Nani alikuwa amemuonga ile ndinga?
 
Leta vitu nakuaminia kwenye hii tasnia ya ubuyu kumbee duka sio lake ni kujimwambafai tu

Ila kale katoto kapaula saivi wanakala sana maana hakana mishe yeyote hapa mjini pesa zake za kuukatikia ukuni tu kataishia kama mama yake na hivi shule ilimshinda
Duka lile ni LA jamaa wa Dubai, ambaye alikua danga lake, na connection aliipata kwa Dimpoz,
Ko yeye alikua km msimamizi tyuuh ili achachawe aliwe vyediii, jamaa kaamua kustop na duka limefungwa.

Ila wanaume wabayaaa, tatizo slay wa Bongo hawajifunzi kwa Wema Sepetu.
 
Wasanii kweli maisha yao yenyewe tu ni sanaa tosha yaani uhongwe utombweee weee halafu mwenye mali achukue alichokuonga akishakuchoka.

Nani alikuwa amemuonga ile ndinga?
Nasikia ni jamaa wa Zenji, ni mfanya biashara wa Magari ana yard pia. Si ndo alikua anampeleka vacay Dubengaa, akakutana na Rick Ross ndo jamaa akaamua nae ajiachee.

 
Duka lile ni LA jamaa wa Dubai, ambaye alikua danga lake, na connection aliipata kwa Dimpoz,
Ko yeye alikua km msimamizi tyuuh ili achachawe aliwe vyediii, jamaa kaamua kustop na duka limefungwa.

Ila wanaume wabayaaa, tatizo slay wa Bongo hawajifunzi kwa Wema Sepetu.
Duuuh! Kumbe ndivyo ilivyokuwa kwa Paula na lile duka aisee. Masikini hawa mastaa wa bongo naona hata uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana ndo maana wanatumika ovyo na kupigwa chini
 
Nasikia ni jamaa wa Zenji, ni mfanya biashara wa Magari ana yard pia. Si ndo alikua anampeleka vacay Dubengaa, akakutana na Rick Ross ndo jamaa akaamua nae ajiachee.

Kwa jinsi alimshobokea na kumtupiamo kwenye mitandao big boss Ricky hata kama ni mimi ningempokonya ndinga yangu. Kwa hiyo madevu naye kamla Mobeto sijui kaumbulia nini kwa yule kibonge kwako Coca
 
Duuuh! Kumbe ndivyo ilivyokuwa kwa Paula na lile duka aisee. Masikini hawa mastaa wa bongo naona hata uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana ndo maana wanatumika ovyo na kupigwa chini
Wasanii wa Bongo hawana hata akili, unahongwa kitu, ila uhalali wa umiliki sio wako, unapewa gari kadi na bima vinasoma jina linginee.
mwsho unaishia kuporwaa na kuliwa umeliwaaa,

Wanaume wabayaaa,
 
Back
Top Bottom