Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwamba mwingine huyu hapa. Hata Hakimi wenu akasome
IMG-20230417-WA0034.jpg

Screenshot_20230417_160140_WhatsApp.jpg
 
Wanawake wenyewe inasemekana hawaridhiki kirahisi nowadays

Kwahiyo vijana wameamua kutumia shortcut ili kujaribu kuwafikisha na kulazimika kwenda Uvinza ya Kigoma 🙈🏃🏃

Sisi hadi tumefikia Umri huu wa Uzee hatujawahi kufika Uvinza hivyo kuishia kuisoma tu kwenye ramani 🤪
Babu umekuja mjini bila taarifa
 
Nilipiga simu yako ikawa haipatikani, nikahisi itakuwa ilitumbukia kwenye Maji Kidimbwi Beach ⛱️ 😆

Mwezi ujao nitakuja tena Mkuu, bado nafatilia pension yangu huko 🤗
Uliikosea
Namba ww maana mafao yako yakupagawisha ila si utanigawai m4 au utanichinja
 
Uliikosea
Namba ww maana mafao yako yakupagawisha ila si utanigawai m4 au utanichinja
Huenda nilikosea, ila next time nitakucheki mapema tu nikifika.

Kuhusu hilo la pension usijali, nitakupa mtaji uuzalishe mara mbili ( Rejea nyimbo ya Kekundu by AIC Makongoro 🤪)
 
Back
Top Bottom