mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
Weka uso, nani anataka kuangalia hiyo miguu


HallelujahNikupee jina ganii kwanii kila lakiherii ni upekee wakooo
!

Kuna watu wana miaka 14 na wana ndevu mbonaAf nddio unasema umezaliwa 2004

😂😂😂😂😂 duh ww mzeee unanipanga sanaHuenda nilikosea, ila next time nitakucheki mapema tu nikifika.
Kuhusu hilo la pension usijali, nitakupa mtaji uuzalishe mara mbili ( Rejea nyimbo ya Kekundu by AIC Makongoro 🤪)
Upendo wanatupia vyuma vikali vikaliIla Upendo tv wana nyimbo nzuri , nilikuwa nasikiliza trace gospel , nyimbo zao za kawaida .
Ahahahah iyo sura watu wataota usiku uhuuWeka uso, nani anataka kuangalia hiyo miguu![]()
Mimi nina 17 lakini sina ndevuKuna watu wana miaka 14 na wana ndevu mbona![]()
Isikupe stressMimi nina 17 lakini sina ndevu

Hahaha.................usijali Mkuu, nikifika Kibaha kwa Mathias nitakupigia kukutaarifu.😂😂😂😂😂 duh ww mzeee unanipanga sana
😂😂😂 nipo bye kabisa kakaIsikupe stress![]()
nitakuja na baisikeli yangu ya anita ile niliotoka nayo kijijiini ukoHahaha.................usijali Mkuu, nikifika Kibaha kwa Mathias nitakupigia kukutaarifu.
Usije ipeleka pension yangu Kidimbwi tu 🤪
sasa unawaza nini😂😂😂 nipo bye kabisa kaka
Yeah usiku wanapiga nyimbo nzuri sana , siwezi kulala bila nyimbo mie .Upendo wanatupia vyuma vikali vikali
Channel ya Mwamposa anajitahidi pia,
Mida ya usiku huwa wanaweka nyimbo,new gospel generation.
jamani jamani 😂
Bila filter utoboia 😂😂
jamani jamani 😂
kulikoni unanicheka ?jamani jamani 😂
mbona umefunika sura 😂kulikoni unanicheka ?
kwani kutumia filter dhambi ????Bila filter utoboia 😂😂
Siweki tena picha humuLips nzuri za kimahaba hapo kifuani tu mm hoi hapa