sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Sio komwe mamii it's forehead....Hivi eeeh?
Sema sura bila komwe hainogi![]()
Ugonjwa wa kapachino
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio komwe mamii it's forehead....Hivi eeeh?
Sema sura bila komwe hainogi![]()
Hahaha pita na bima hapa uchukue na daku hapa kwa shemejio.
Uje tutafutee Uzi mzuri WA kesho mtani akikandwaView attachment 2589035
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe connection we mzee
Njoo tukupe dawa za kimasai Yani kuna dawa unaitafuna wakati unaongea na binti.
Akimaliza kuongea nae binti anakufata nyuma popote uendapo anakufata.....
Sema hamkawii kuitumia vibaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bima Kwa wale wapemba wa urojo au?? Sooon..Hahaha pita na bima hapa uchukue na daku hapa kwa shemejio.
inazuia vitu vzrMrembo Saint Anne tupunguzie basi ukubwa wa saa 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
hahahahahaHivi eeeh?😂
Sema sura bila komwe hainogi😆
Salama kabisa mtu chake tunapishana sana nowadays... nimefurahi kukuona hapa.Bantu Lady nakusalimia
nipo rafiki ,nami nimefurahi sana kuendelea kukuonaSalama kabisa mtu chake tunapishana sana nowadays... nimefurahi kukuona hapa.
Ndio umejua LeoSanto sana mjombaaa naona mti umefichaa kitruuuu!!
Barikiwa sana mjomba nasikia mtindi ni mzuri kwa nanihiii!

Namsubiri




khaaah wee nae lol




natafuta mlinzi msafi na najilipua kwake, hadi nikione kingozi live.Nakaziaaaaaaaa nakaaa mnywanii imejitosheleza kabesaaaaa!! Mama la mamaa umepitwaaa hukuuuu Chinooo pametunaaaa kinoumaaaa!! Hatariiiiiii faiyaaaa
Wabheja sana kuifanya Jioni yangu iishe vizuuuureeee kabesa mnywanii barikiwa sana!!
Kitruuu furuuuuuuuuu![]()





utakufa miguu inachucha majii. KhaaaahNimepitwaaaaa






Sijaonaaaaa, rudiaaaa.
Hii app jaman hata sioni pichaa khaaah.The best memories are made, around the dinner tableView attachment 2588957